Wednesday 25 June 2014

MAJANGAA:-JAMAA AVUJISHA PICHA ZA MPENZI WAKE BAADA YA KUMBAMBA AKIMSALITI KWA KUNGONOKA NA RAFIKI YAKE

p (1)

Hili liwe somo kwa akina dada jeuri mnaowasaliti wapenzi wenu. Jamaa ambaye jina lake tumelihifadhi amefanya kitu kibaya juu ya huyu dada baada ya kumbamba akiliwa uroda na mwanaume mwingine.
Chanzo hiki kilijaribu kukaa na huyu kijana ili kumtuliza na asifanye jambo lolote baya lakini haikusaidia kwani kijana huyu tayari amechukua maamuzi ya kutupia picha za uchi wa mnyama wa huyu dada mtandaoni. 
Kwa upande mwingine ni fundisho kwa huyu dada lakina kwa namna moja au nyingine amekosea kwani kufanya hivi nikuwazalilisha wanawake wengine ambao hata hawajahusika katika tukio hili.

Chanzo hiki cha habari kinawaasa vijana kutofanya maamuzi mabaya kama haya kwani kuvujisha picha za uchi mtandaoni siyo njia ya kumfundisha mpenzi wako. Maamuzi mazuri  ni kukaa na mpenzi wako na kumueleza madhara ya mambo anayofanya nina uhakika ukitumia busara atakuelewa.