Msanii Alikiba amefunguka kuhusu suala la yeye kuingia kwenye soka na kulisakata kabumbu, na kusema kuwa suala kama hilo linawezekana kwake.
Friday 8 April 2016
RECHO: SIVUTI BANGI WALA MADAWA YA KULEVYA
Msanii wa kike wa muziki wa Bongo Flava, Recho ‘Kizunguzungu’, amekanusha vikali tuhuma za kwamba yeye anatumia Madawa ya Kulevya ikiwemo Bangi.
Wednesday 6 April 2016
Waheshimiwa Wamrejesha Profesa Jay kwenye Gemu
Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Morogoro na rapa nguli nchini, Joseph Haule ‘Prof Jay’ amesema licha ya kuwa na wadhifa wa ubunge, bado ataendeleza fani yake ya muziki kwa kile alichosema hata waheshimiwa wenzake wamemtaka kuendelea hivyo.
Mwanamke Uliyeolewa Jua Kuitumia Smartphone yako Vizuri..Lasivyo Itakuponzam Uachike.....
Mwanamke aliyeolewa ni msaidizi wa mume wake, kuhakikisha amempikia mumewe,amemfulia, na mumewe akitoka kazini akili zake zote ziwe kwake, amuhudumie kwa kila kitu akisimama katika nafasi yake kama mwanamke
Monday 4 April 2016
Diamond, Kiba sasa Bifu Limehamia Kuwa La Kifamilia
Mkali wa Bongo fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’.
Dar es Salaam: Imevuja! Harakati za kusaka mafanikio na kufika mbali kimuziki zimeibua jipya kati ya wakali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Ali Saleh Kiba
Babu Tale Aeleza Alivyosaidiwa Na Ray C Kipindi Hajulikani
Meneja wa Tip Top Connection na WCB, Babu Tale, amefunguka kuwa anatamani kumsaidia Ray C kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya na kumrejesha vizuri kwenye muziki kama zamani kwakuwa naye aliwahi kumsaidia.
Diamond Akitaka Kuandika Wimbo Wa Kuumizwa Kimapenzi Humfikiria Msichana Huyu (Audio)
Diamond Platnumz ni bingwa wa kuandika nyimbo za kuachwa, kuumizwa na kutendwa kimapenzi.
Kamwambie, Mbagala, Mawazo, Ukimwona, Nataka Kulewa, Bado na zingine, zilihit kwasababu ziligusa
Niko tayari kuolewa na Wizkid - Lulu la Diva
Msanii wa kike ambaye pia ni muuza nyago katika Video za Kibongo, Lulu Abbasi ‘Lulu La Diva’ amefunguka kuwa yuko tayari kuolewa na msanii wa muziki kutoka nchini
Kutana na viwanja 10 vya ndege duniani vilivyopitisha abiria wengi zaidi mwaka 2015
Siku hizi kila kitu kina rekodi zake, kama wanatuambia mpaka idadi ya Tembo walioko Afrika hawawezi kushindwa kutuambia viwanja vya ndege vinavyoongoza kwa kupokea
Subscribe to:
Posts (Atom)