Friday 25 November 2016
Friday 18 November 2016
Gabo auzungumzia umuhimu wa tuzo za EATV Award pamoja na mwamko mdogo wa mastaa
Msanii wa filamu anayefanya vizuri na filamu ‘Safari ya Gwalu’ Salim Ahmed ‘Gabo’ amesema tuzo ni kitu muhimu kwa
Video: Walter Chilambo aanza kufanya muziki wa gospel ‘najaribu huku labda Mungu ana mpango na mimi
Mshindi wa shindano la kusaka vipaji la BSS 2012, Walter Chilambo amezungumzia maisha yake mapya ndani ya
Wednesday 16 November 2016
Vera Sidika aonyesha nyumba yake na gari analomiliki ni ‘kufuru
Mrembo maarufu wa Kenya, Vera Sidika ameonyesha kuwa na yeye ni miongoni mwa mastaa wanaomiliki vitu vya
5 reasons why he won't cheat on you, according to research
Have you ever wondered if your partner might be cheating on you, or if, at least, he is considering it?
According to five results of some research carried out, these are ways to know a man who will most likely cheat, and one who can't manage it.
Mange Kimambi Aikosoa Ziara ya January Makamba Studio ya Wasafi Records, Adai Ameenda Kumpoza
Video: Vanessa aendelea kuonyesha matukio aliyoyafanya kupitia ‘Money Diaries
Vanessa Mdee ameendelea kukuletea muendelezo wa matukio mbalimbali kupitia chaneli yake ya mtandao wa YouTube ‘Money Diaries’ ya safari yake ya kuandaa albamu yake mpya ya “Money Mondays” ambayo bado haijatoaka.
Breaking: Calisah aachiwa baada ya kulala polisi kwa tuhuma ya kusambaza video ya utupu ya Wema (Video)
Breaking: Calisah aachiwa baada ya kulala polisi kwa tuhuma ya kusambaza video ya utupu ya Wema Mode Calisah ameachiwa jioni hii baada ya siku ya jana kushikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kusambaza mitandaoni video ya utupu ya Wema Sepetu.
Akiongea na Bongo5 jioni kwa njia ya simu wakati akielekea nyumbani kwake, Calisah alisema ni kweli alikamatwa toka jana kutokana na tuhuma za kusamba video hizo mtandaoni
Wasanii wa sasa tunaendeshwa na presha za mashab iki – Ommy Dimpoz
Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo “Kajiandae” akiwa na Alikiba amesema kuwa presha za mashabiki ndio zinasababisha nyimbo za wasanii kupotea mapema na kuwafanya waachie nyimbo nyingi kwa muda mfupi tofauti na zamani ilivyokuwa.
Saida Karoli adai haujui mkataba aliosaini meneja wake na Diamond kuhusu wimbo ‘Salome’
Msanii wa zamani wa muziki wa asili Saida Karoli amedai yeye anasikia kama watu wengine kwenye vyombo vya habari kwamba Diamond ameiangia mkataba na meneja wake wa zamani kuhusu kutumia vionjo vya nyimbo zake katika kutengeneza wimbo ‘Salome’ wa Diamond.
Muimbaji huyo amedai hizo asilimia 25 za mapato za wimbo ‘Salome’ ambazo zilielezwa na viongozi wa WCB hazijui kwa kuwa hakuhusishwa kwenye hilo
Muimbaji huyo amedai hizo asilimia 25 za mapato za wimbo ‘Salome’ ambazo zilielezwa na viongozi wa WCB hazijui kwa kuwa hakuhusishwa kwenye hilo
Subscribe to:
Posts (Atom)