Kifafa cha mimba ni ugonjwa unaohusiana na msukumo mkubwa wa damu (high blood pressure) wakati wa ujauzito pamoja na kuharibika kwa viungo muhimu mwilini kama vile figo na ini. Kwa kawaida ugonjwa huu hutokea baada ya nusu ya kwanza ya ujauzito kuisha (kuanzia wiki ya 20 au miezi mitano ya ujauzito).
Wednesday 25 October 2017
Maradhi Yanayotibiwa na Habbat Soda (BLACK SEEDS)
Bila Uvumilivu utaacha kila siku, kuwa makini katika hili
Tabia Hii Moja Itakufanya Uendelee Kuwa Masikini Maisha Yako Yote
Kila siku huwa najifunza sana kuhusu fedha na kuhusu tabia za watu kuhusu fedha. Pia nimekuwa nakazana sana kujifunza kuhusu fedha katika miaka mingi iliyopita. Nimekuwa najifunza kuhusu historia ya fedha, historia ya matajiri mbalimbali waliopata kuwepo kwenye uso huu wa dunia. Na muhimu zaidi nimekuwa najifunza kupitia tabia za wengine
Zijue sababu zinazopelekea wapenzi wengi kuchokana mapema
Hivi uliwahi kujiuliza hivi ni kwanini baadhi ya mahusiano ya kimapenzi hufa mapema, kama si kufa basi kushuka kwa mahusiano hayo? Moja kati ya sababu ambayo husababaisha kufa kwa mahusiano ni ile tabia ya kuchokana mapema katika mahusiano na moja kati ya sababu kubwa ambayo hupelekea kuchokana mapema ni:
Jinsi Ya Kufanya Mambo Magumu Kuwa Rahisi
Ni rahisi kufanikisha jambo lolote, ikiwa jambo hilo utataanza kulifanya mara moja na kuacha kusubiri.
Harmorapa afunguka kuhusu kupotea kwake
Msanii ambaye hakauki vituko mitandaoni Harmorapa, amewajibu watu wanaomsema kuwa amepotea pamoja na kiki zake zote, na kusema kwamba hajapotea isipokuwa yuko busy na biashara.
SIMULIZI: DADA VUA 13
..........ilipoishia
Huku kwa kina Helena tayari Lucy alisharejea katika hali yake ya kibinadamu na wakati huohuo Sule alionekana anaondoka.Kwa kuwa helena alikuwa amepewa kazi ya kumzuia sule asiondoke bila kunywa kinywaji kile alichopewa na Shangazi,Basi alimfuata sule akiwa na kile kinywaji kujaribu kama hilo litawezekana.....
Odinga akanusha kuitisha maandamano siku ya uchaguzi
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amewataka wafuasi wake kutoandamana na badala yake kusalia majumbani mwao siku ya uchaguzi.
Odinga amvaa Afisa mkuu IEBC Kenya
Kiongozi wa Muungano wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amesema Afisa Mkuu Mtendaji wa Tume Huru wa Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya nchini Kenya Ezra Chiloba bado yupo ofisini ingawa alisema kuwa amechukua likizo na asingeshiriki katika uchaguzi.
Wakenya kupumzika siku ya Jumatano
Serikali ya Kenya imetangaza kuwa siku ya Jumatano itakuwa ya mapumziko ili kuwapa wananchi muda wa kutosha kwa maandalizi ya uchaguzi wa marudio unaotarajiwa kufanyika Alhamisi ya Oktoba 26.
Samatta awatosa Lioneil Messi na Cr7 katika The Best 2017
Jana kulitolewa Fifa The Best 2017 pale mjini London Uingereza, katika utoaji wa tuzo hizo manahodha wa timu za taifa dunia nzima walipewa nafasi kupiga kura kumpata mchezaji bora.
Wyne Rooney ateswa na upara
Mshambuliaji wa Everton, Wyne Rooney ameingia na hofu ya kukosa nywele baada ya upara kuanza kuonekana.
Waethiopia 74 wakamatwa Mtwara
Mtwara. Ofisi ya Uhamiaji mkoani Mtwara kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) imewakamata wahamiaji wasiofuata utaratibu 74 raia wa Ethiopia.
Mabalozi wainyooshea kidole Kenya
Nairobi, Kenya. Mabalozi wa nchi za Ulaya na Marekani wamezungumzia “kuzorota kwa mazingira ya kisiasa” katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa marudio na wakahimiza vyama vikuu kujizuia kufanya uchochezi na kuacha kuzikashfu taasisi.
Polisi wakamata Wapinzani
Wafuasi kadhaa wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, wamekamatwa jana Jumapili mjini Lubumbashi walipokuwa wakihudhuria mkutano wa maandalizi ya kuwasili kwa kiongozi wa chama cha UDPS, Felix Tshisekedi, katika katika mji huo.
Everton Waifuata Chelsea Kwa Treni
Wayne Rooney akiwa na wachezaji wenzake wa Everton kwenye stesheni ya treni leo kwa safari ya London kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Carabao dhidi ya wenyeji, Chelsea kesho ambao utakuwa wa kwanza kocha wa muda, David Unsworth aliyepewa nafasi ya Ronald
Giggs asema anazitamani Everton na Leicester City
Mawaziri na Wabunge kuanza kupewa tuzo
Kamati ya utawala ya shindano la tuzo za utekelezaji maendeleo kwa kasi ya juu kwa Wabunge na Mawaziri (THSDA) imezindua shindano la kutoa tuzo kwa Wabunge na Mawaziri watakaofanya vizuri katika kutekeleza majukumu ya kuwaletea Wananchi maendeleo.
Niyonzima awapa neno mashabiki wa Simba
KIUNGO nyota wa Simba inayodhaminiwa na Kampuni ya Kubashiri Matokeo Michezoni ya SportPesa, Mnyarwanda Haruna Niyonzima, amesema mashabiki wa timu hiyo wajiandae kumuoa "Niyonzima mpya" baada ya muda mfupi.
Kizimbani kwa kutishia kumuua Diwani
WATU nane wakazi wa Ntyuka Manispaa ya Dodoma, wamefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Chamwino kwa tuhuma za kutishia kumuua kwa maneno Diwani wa Kata ya Ntyuka, Theobale Emmanuel.
Watumishi wala rushwa watangaziwa kiama
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Kapteni mstaafu George Mkuchika
Dar es Salaam. Serikali imesema mtumishi anayefanya kazi katika Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (Mkurabita) akibainika kushiriki vitendo vya rushwa atachukuliwa hatua mara moja.
Afisa wa TRA apandishwa kizimbani kisa kumiliki mali zisizolingana na kipato chake
Afisa Msaidizi wa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jennifer Mushi amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kosa la kumiliki mali ambazo ni magari 19 na kuishi maisha ya kifahari kinyume na mshahara wake.
Mshtakiwa amesomewa makosa yake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shahidi na Wakili wa Serikali, Vitalis Peter ambaye alidai mshtakiwa ana makosa mawili.
Serikali yalipiga ‘STOP’ gazeti la Tanzania Daima
Serikali imelifungia gazeti la Tanzania Daima kwa siku 90 kwa madai ya kuandika habari za uongo.
Soma taarifa kamili:
Darassa kuamsha dude la kufungia mwaka
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Darassa amezungumzia ujio wake mpya.
Rapper huyo ambaye mara mwisho alisikika na ngoma ‘Hasara Roho’ ameiambia Dj Show ya Radio One yupo katika maandalizi ya kufanya hivyo ila kwa sasa asingependa kulizungumzia sana kwani yeye siku zote siyo muongeaji zaidi ya kazi.
Tuesday 24 October 2017
SIMULIZI: SHANIA PART 02 EP 05
..........iilipoishia
Mike alimwambia"Mmmmmh kazi mnao lakini wewe ulikuwa unatakaje"......Pacha wa Shaina alijitengenezea koo vizur"mh!!mh!!! mike jomouny kwanini unakuwa mgumu kunielewa"......Mike alimwambia "Oukey nimeshakuelewa twende kwanza Huko dukani tukirudi tutaongea vizuri.Shania alijipa ushindi mkubwa na kujisemea kimoyo moyo" Yeees!!"kisha
Diego Maradona hakufurahia kumkabidhi tuzo Ronaldo
Huyu ndio kiongozi mwenye nguvu zaidi nchini China tangu kipindi cha Mao Zedong'
Chama cha Kikomunisti nchini China kimepiga kura kujumuisha falsafa zake Xi Jinping katika katiba na kumuinua hadi kifikia kiwango alichokuwa nacho mwanzilishi Mao Zedong.
Hawa ndio wachezaji 24 wa Taifa Stars waliochaguliwa kucheza na Benin
Leo Jumanne kocha wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Salum Mayanga ametangaza kikosi cha wachezaji 24 ambacho kitacheza na timu ya taifa ya Benin Novemba 11 ya mwaka huu.
Kikosi hicho kilichotangazwa na mwalimu Mayanga ni pamoja na magolikipa Aishi Manula, Peter Manyika na Ramadhan Kambwili.
Wasanii Bongo kufanya siri mauzo ya albamu, Ben Pol afunguka
Mkali wa muziki wa RnB Bongo, Ben Pol amefunguka utamaduni wa wasanii kutoa albamu lakini wanakuwa wasiri katika mauzo na idadi kamili ya copy.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Kidume’ ambayo amemshirikisha Chidnma kutoka nchini Nigeria, ameiambia East Africa Radio kuwa ni kweli hilo lipo ila kwa upande wake hadhani kama lipo kutokana albamu yake ya kwanza alitoa akiwa chini ya record label.
Rekodi za Emmanuel Okwi katika Uwanja wa Uhuru hizi hapa
Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea katika mtanange wa watani wa jadi, Yanga SC ambao ndiyo wenyeji wa kiwakaribisha Simba SC katika Uwanja wa Uhuru Octoba 28 mwaka huu mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara.
Hizi ndizo rekodi chache tu za mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uganda na klabu ya Simba, Emmanuel Okwi katika Uwanja wa Uhuru toka sajiliwe msimu huu.
Usishangae kumsikia Ruby katika aina hizi mbili za muziki
Msanii wa Bongo Flava, Ruby amefunguka kuhusu kufanya muziki aina ya taarab na rap.
Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa anaweza kufanya aina za muziki ila taarab ipo katika nafasi nzuri kwake kutokana yeye ni muimbaji pia.
Kilichojiri Kesi ya Lulu Mahakamani leo. Mke wa Dk Slaa akosekana ushahidi (+Audio)
Shahidi wa pili upande wa utetezi ambaye ni mke wa Dk Slaa, Josephine Mushumbushi, na pia aliyekuwa mmoja wa madaktari wa marehemu Kanumba, ameshindwa kufika mahakamani Jumanne hii kwa ajili ya kutoa ushahidi wake kutokana na sababu zilizoelezwa kuwa yupo nje ya nchi na hakuweza kupatikana moja kwa moja.
Akiongea na waandishi wa habari baada ya kesi hiyo kuahirishwa, mtaalamu na mfuatiliaji wa kesi hiyo amesema, “Mwanzoni wakati anasomewa maelezo ya awali walisema
Wivu wa kimapenzi watajwa kumng’oa msanii MJ Records, Nay wa Mitego ahusishwa
Producer Daxo Chali ambaye anafanya kazi zake katika studio za MJ Records hapo juzi alitangaza kuacha kumsimami msanii Nini kupitia studio hiyo, lakini stori za sasa zinadai chanzo cha hilo ni wivu wa kimapenzi.
Nini na Haitham
Ronaldo, Messi wakumbatiana kwa bashasha usiku wa tuzo za FIFA (Picha)
Katika tuzo zilizotolewa hapo jana siku ya Jumatatu usiku katika Jiji la London mastaa wengi walihudhuria wakiwemo waigizaji lakini tukio kubwa lililovutia ni kukutana na kukumbatiana kwa Cristiano Ronaldo na Leonel Messi.
Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akisalimiana na kukumbatiana na Leonel Messi wa Barcelona
Mitandao ya Facebook, LinkedIn yaongoza kwa kuvunja ndoa za watu
Mitandao ya kijamii ya Facebook na LinkedIn inaongoza kwa kuvunja ndoa za watu duniani kwa wanandoa kuwa na mahusiano na watu zaidi ya mmoja mitandaoni.
Hayo yamesemwa na Mwanasheria Abigail Lowther, kutoka katika kituo cha Wanasheria cha Hall Brown Law Family cha nchini Uingereza.
La Liga yatawala kikosi bora cha FIFA
Katika tuzo zilizotolewa hapo jana siku ya Jumatatu usiku jumla ya wachezaji watano wa klabu ya Real Madrid wametajwa katika kikosi kinaunda wachezaji 11 wa FIFA.
Kikosi bora kilichotangazwa na FIFA 2017
Ronaldo, Zidane wang’ara tuzo za FIFA (Picha)
Mshambuliajia wa timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo amelitetea tena taji lake la mwanasoka bora wa Fifa kwa mwaka wa pili mfululizo.
Ronaldo amemshinda Lionel Messi ria wa Argentina anayekipiga Barcelona aliyeshika nafasi ya pili.
Biashara ya kuanzisha ukumbi wa sinema (Movie theatre)
Umbi wa kuonyesha movi zinakuwa kwa sana katika maeneo ya miji.
Lakin bado Africa mashariki kuna upungufu mkubwa wa kumbi ukilingalinisha na mataifa mengine.
Mambo ambayo Mwanamke hawezi kuyaweka wazi katika Mahusiano
Ufugaji wa kuku wa nyama (broiler) katika eneo dogo lisilozidi mita 1 kwa kuku 100
Eneo linalohitajika ni mita mbili (2), Kwa maana ya Urefu wa mita mbili(2) na Upana wa mita moja(1).
Mambo 6 Ambayo Mjasiriamali Anatakiwa Kuyafanya Kila Siku
Kati ya kitu ambacho kila mjasiriamali mwenye nia ya kufanikiwa anacho ni kule kutaka kuona anakifikia mafanikio makubwa ya kibiashara. Lakini pamoja na kuwa na nia hiyo ya kufikia mafanikio hayo, mjasiriamali huyu hawezi kufanikiwa mpaka ajue mambo ya msingi yanayoweza kumsaidia kufanikiwa na kuyafanya karibu kila siku.
Tujiepushe Kunywa Maji Baridi Yana Madhara Kwa Afya Ya Binadamu
MADHARA YA KUNYWA MAJI BARIDI
UNYWAJI wa maji baridi, hasa katika joto kali kama la Dar es Salaam, ni kiburudisho kikubwa cha koo na huleta faraja kubwa mwilini. Ni jambo la kawaida pia kwa mtu kuhitaji kunywa maji hayo mara baada ya kula mlo, iwe mchana au usiku.
Gavana mteule afunguka
Dar es Salaam. Gavana mteule wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga amesema amepokea kwa heshima kubwa dhamana aliyopewa na Rais John Magufuli na anatambua changamoto za nafasi hiyo.
SIMULIZI: DADA VUA 13
..........ilipoishia
Huku kwa kina Helena tayari Lucy alisharejea katika hali yake ya kibinadamu na wakati huohuo Sule alionekana anaondoka.Kwa kuwa helena alikuwa amepewa kazi ya kumzuia sule asiondoke bila kunywa kinywaji kile alichopewa na Shangazi,Basi alimfuata sule akiwa na kile kinywaji kujaribu kama hilo litawezekana.....
Huku kwa kina Helena tayari Lucy alisharejea katika hali yake ya kibinadamu na wakati huohuo Sule alionekana anaondoka.Kwa kuwa helena alikuwa amepewa kazi ya kumzuia sule asiondoke bila kunywa kinywaji kile alichopewa na Shangazi,Basi alimfuata sule akiwa na kile kinywaji kujaribu kama hilo litawezekana.....
Kigaila akosa dhamana, atupwa rumande
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam 'limemtupa' rumande Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema, Kigaila Benson.
Matibabu ya Saratani ya Shingo ya Kizazi yaanza kutolewa Bure na Serikali
Kocha wa timu ya Taifa ya Sweden atua Nchini
Bei ya korosho yazidi kunona. Lindi
Bei ya korosho yazidi kunona.Na.Ahmad
IKIWA ni mnada wake wa kwanza kufanyika katika msimu wa 2017/2018,chama kikuu cha ushirika cha RUNALI mkoani Lindi, jana kilifanikiwa kuuza korosho kwa bei ya juu kuliko bei za juzi zilizonunuliwa zao hilo katika chama kikuu cha Lindi Mwambo.
Dalili za Ugonjwa wa zinaa - kisonono
Kisonono ni ugonjwa wa zinaa unaoambukizwa, ugonjwa huu hutokana na wadudu aina ya Neisseria gonorrhoeae. Ugonjwa huu pia huambukizwa kwa tendo la ngono na hata kutoka kwa mama mjamzito anapojifungua huweza kumuambukiza pia mtoto endapo atakuwa alikuwa nao.
Subscribe to:
Posts (Atom)