Gwiji la soka nchini Argentina, Diego Maradona ametua kwa mbwembwe nchini Belarus kuanza kazi yake mpya kama Mwenyekiti wa klabu ya Dinamo Brest FC.
Saturday 21 July 2018
Sadio Mane akabidhiwa namba ya Coutinho, Salah aonyesha uwezo kwenye kikapu
Nyota wa klabu ya Liverpool, Mohamed Salah na Sadio Mane wamerejea hii leo siku ya Ijumaa huko Melwood tayari kwaajili ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu nchini Uingereza.
Subscribe to:
Posts (Atom)