Monday 4 April 2016

Fally Ipupa Amshirikisha Diamond Platnumz kwenye Wimbo Wake Mpya

Nguli wa muziki wa Africa kutoka DRC Congo mwenye makazi yake jijini Paris Ufaransa amefanya collabo na mkali wa Africa Mashariki Diamond Platnumz, kazi hiyo imefanyika jijini Paris wakati Diamond akiwa kwenye mapumziko mafupi na familia yake.

Diamond Ameandika hivi:

I wish you guys can get jus a second to hear what we did with my brother @fallyipupa01 Last night in Paris!!!
(Natamani walau mngepata japo sekunde moja tu ya Kuskia tulichokifanya jana katika Ngoma Mpya alonishirikisha @fallyipupa01 ..... Mwenyewe anasema kabla ya Kushoot Video lazma tuiingilie Chimbo kama Wiki nzima Hivi na Madancers wetu wote, Full Dance na Mapande ya ajabu