Mwanamke anaweza kumuongezea mume wake nguvu za kiume ili ashiriki vizuri tendo la ndoa. Akitaka kufanya hivi basi mara kwa mara amtayarishie vyakula ambavyo havina mafuta
mengi wala chumvi nyingi, pia ampe vitu kama karoti
mbichi,muhogo mbichi,mahindi ya kuchoma,nyama
ya mbuzi na asali bila kusahau pweza na supu yake.
Naimani tumeelewana kwa hili kama haujanielewa ama una swali waweza uliza swali lako milango iko wazi.
Naimani tumeelewana kwa hili kama haujanielewa ama una swali waweza uliza swali lako milango iko wazi.