SUALA la kushindwa kutofautisha rafiki uliyenaye kama ni rafiki tu na mpenzi wa kweli, ni la kawaida sana katika jamii na mara nyingi huwapata zaidi wanawake.Wengi wao hushindwa kutambua mwanamume ambaye anaweza kuwa mpenzi au rafiki na mwishowe hujikuta wakitumbukia kwenye uhusianoambao haufai kuwa uhusiano wa mapenzi.Sehemu yenye shida ni kutambua yupi ana nia ya kuwa na uhusiano wa mapenzi wa kudumu na yupi anataka kuwa rafiki, kwani kati ya wanaume wengi wanaokutana na mwanamke, lazima mmoja atakuwa na nia njema ya kuwa na uhusiano na mwanamke huyo. Sasa basi utamtambuaje?Je, kuna alama yoyote ya kukuonesha mwanamume kama huyo?Kwani inawezekana kabisa wanaume wengine pamoja na kuwa na nia hiyo, hawajui namna ya kuanza kuzungumzia suala hilo. Ukweli ni kwamba ili umtambue mwanamume anayekupenda na yule anayetaka urafiki wa kawaida tukwako, ni lazima utambue kwa kuzingatia sifa zifuatazo.Marafiki siku zote wana tabia yakuzungumza kwa uhuru zaidi, hutaniana na kucheka na mara zote huzungumza pamoja katika mtindo wa kuzoeana zaidi bila kuoneana haya.Kwa mujibu wa wataalamu na wachambuzi wa masuala ya mapenzi, kama mwanamume ana nia ya mapenzi na mwanamke, si rahisi kufanya mambo kama hayo.Acha tu kuongea kwa uhuru, itamuwia vigumu pia kuzungumza na mwanamke anayempenda na wakati mwingine unaweza kumkamata akimuangalia mwanamke huyo mara kwa mara, tena kwa macho yaliyo makini lakini maratu mwanamke huyo atakapomuangalia, ataangalia pembeni haraka.Kwa mwanamume mwenye hisia za mapenzi kwa mwanamke, si rahisi kumuangalia mwanamke huyo kwa uhuru na mara nyingi hufanya jambo hilo kwa kificho na hata katika kikundi, utaona watu wengine wanaongea na kucheka lakini yeye atatulia.Pamoja na ishara hizo atakazoonesha mwanamume huyo, pia kwa mwanamke anayependwa, ikiwa kwa bahati mbaya akajigonga kwenye kitu au kujikwaa, wanaume wengine waliopo wanaweza wasishituke,lakini yeye atainuka kwenda kutoa msaada. Kumbukeni kwamba kuwa na mtu mwenye hisia za mapenzi na rafiki kuna tofauti kubwa.Rafiki ni tofauti na mpenzi kwa kuwa hakuna nafasi ya mahaba katika urafiki na marafiki hushirikiana kila kitu bila kujali kulindana.Marafiki pia hawajali, hata wakiwaonesha rafiki zao upande wa pili wa tabia zao na mara zote hupenda kujionesha na kushirikiana kwenye hata mambo yasiyo na maana bila kujali tofauti na watu walio kwenye mapenzi.Ishara nyingine kuwa mwanamume uliyenaye hana nia wala hisia za mapenzi kwako, ni pale atakapokuwa akizungumza na wewe na mavazi yake au muonekano wake kwako kwa ujumla.Namna ya kuzungumza na mavazi vinaweza kukusaidia kutambua aina ya mtu uliyenaye, kwani mara nyingi marafiki huzungumza kwa kujiamini na kwa sauti bila kuona aibu au kujali mtazamo wako.Pia hata muonekano wa rafiki yako mbele yako, awe mwanamume au mwanamke haijalishi kwako, lakini si kwa mpenzi wake lazima atafanya mambo hayo mawili kwa makinikwa kuwa anajali hisia na mtazamo wa mwenza wake.Katika mtazamo wa hisia za mapenzi, mambo yote huwa tofauti kwani hauwezi hata siku moja kumkuta mwanamume au mwanamke aliye mapenzini akiwa amevaa nguo ambazo zitamfanya aonekane kituko mbele za watu.Watu wa aina hiyo siku zote hufanya mambo yao kwa lengo moja tu ambalo ni la msingi na maana kwao nalo ni kumfurahisha mwenza au mtu ambaye wanampenda.Halikadhalika si rahisi kumkuta mwanamume au mwanamke aliye katika hisia za mapenzi, akizungumza na mtu huyo anayempenda kama marafiki wanavyofanya, si rahisi kabisa jambo hilo kutokea.Siku zote watu wa aina hiyo si wawazi na huwa na tabia ya aibu hasa wanapomuona mtu wanayempenda kwani kitendo cha kuwa naye karibu tu, huwafanya wasiwe huru kabisa.Kwa mtazamo huu sasa natumaini mmefahamu tofauti kati ya mwanamume rafiki na anayekupenda, ni jukumu lenu wanawake kuchunguza kama mwenza uliyenaye anakupenda au anakufanya kifaa cha mapenzi.-via habarileo
MATUKIO YA SIKU
-
▼
2015
(667)
-
▼
May
(158)
- USHAURI:MUME WANGU ANANILAZIMISHA TUFANYE MAPENZI ...
- MAPENZI:SOMA HAPA JIFUNZE JINSI YA KUDUMISHA UHUSI...
- HIZI NDIO FAIDA 10 ZA KUFANYA MAPENZI KIAFYA
- HAYA NDIO MADHARA YA KUNYONYA UKE WAKATI WA KUFANY...
- HAYA NDO MAMBO MAKUBWA YANAYOVUTIA KWA MWANAMKE HE...
- Hizi Ndio Mbinu za kumuweza, Mwanamke Aliye Mgumu ...
- Nimeishi Naye Ndani ya Ndoa Miaka Mitano, Jogoo La...
- +18-PICHA ZA UCHAFU ZA MADENTI WA CHUO ZILIZOZAGAA...
- HAYA WALE MAZIGIOO HUYU HAPA MREMBO ANAETIKOSA HUK...
- KUFUMANIWA NOMA!! JIONEE JINSI JAMAA ALIVYONASWA N...
- HIZI NDIO FAIDA 10 ZA KUFANYA MAPENZI KIAFYA
- KAMA ULIKUWA HUJUI HII NDIYO SABABU YA MADEMU WENG...
- SHTUKA! Fahamu Mbinu za kutofautisha rafiki na mpe...
- Je, unajua mwenza wako anakupendea kitu gani?
- FAHAMU MADHARA MAKUU MATANO YA KULAMBA SEHEMU ZA S...
- MAPENZI:KUMBE HIZI NDIZO SABABU ZINAZOWAFANYA MWAN...
- HIZI NDIO NJIA TANO KALI ZA KUPATA MTOTO WA KIUME..
- NINAACHIKA KILA MARA KWA SABABU MSIMAMO WANGU WA K...
- HIZI NDO NJIA MUHIMU ZA KUMSHAWISHI MPENZI WAKO KA...
- SHTUKA! KWA NINI UNGOJE ANAYEKUPENDA AKUTOLEE CHOZ...
- HII NDIO SAIZI YA UUME INAYOPENDWA ZAIDI NA WASICH...
- Nimelamba Mchepuko wa Dingi, Kanipa Mambo Matamu S...
- HIZI NDIZO SABABU ZA WANAWAKE WENGI KUCHELEWA KUOL...
- DALILI 10 ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA KIMAPENZI LAKIN...
- JE, UTAJUAJE KAMA UMEMKUNA MPENZI WAKO HASWA? JIFU...
- HIPS NOMA_Fahamu Wanawake Wenye Hips naShida Wanaz...
- YAFAHAMU MADHARA SABA MAKUU YA KUFANYA NGONO KINYU...
- JINSI KUZUIA MIMBA KUTUNGA BAADA YAKUFANYA NGONO B...
- MAPENZI:UKIYAONA YAFUATAYO KWA MPENZI WAKO ACHANA ...
- KAMA HAUTUMII VYAKULA HIVI, NGUVU ZA KIUME UTAZISI...
- YAJUE MATIBABU YA NGUVU ZA KIUME KWA WAATHIRIKA WA...
- SHTUKA! ZIJUE SABABU ZAWANAUME KUCHEPUKA!
- Kushiriki tendo la ndoa mara nyingi hakukufanyi uw...
- OGM! .....Irene Uwoya Releases Sexy Photos while T...
- USIJIDANGANYE MWANAUME HAKOMOLEWI!
- SEHEMU 12 ZA KUMSHIKA MWANAMKE WAKATI WA TENDO LA ...
- UKIYAONA HAYA JUA DEMU ANA UCHI WENYE KINA KIREFU ...
- Naombeni Ushauri; Mwanamke Mwenye Jinsia Mbili Ana...
- NAOMBENI USHAURI JAMANI MTOTO WA AUNCLE ANANITESA ...
- Ukiwa Nacho Lazima Uringe...Hii Ndiyo Raha Ya Mwan...
- MREMBO: MPENZI WANGU SIMUELEWI JAMANI! NISAIDIENI ...
- SHTUKA! USIWE MBULULA, UNA HAKI YA KUPENDA ILA ‘US...
- SHOGA: USIMPE NAFASI MUMEO AWE KARIBU NA NDUGUZO!
- KWA NINI WAPENZI WANACHOKANA HARAKA?
- KUTANA NA MBINU MBADALA ZA KUTONGOZA NA KUMPATA MW...
- MAPENZI: UKIMFANYIA HAYA MPENZI WAKO HATOKUSAHAUKA...
- AMESOMESHWA KUANZIA KIDATO CHA KWANZA HADI CHUO NA...
- FANYA HAYA 6 KUZUIA WATU WASIINGILIE MAPENZI YENU
- Mdada Aliyekwambia Kujua Kuzungusha Kiuno ndo Tike...
- USIRUHUSU MUMEO AFANYIWE MASAJI NA MWANAMKE MWENZIO
- The SECRETS of what WOMEN WANT in MEN
- Je, UKUBWA WA UUME au UDOGO WA UUME unasaidia kati...
- JE, WAJUA WANAWAKE WANAVUTIWA NA NINI ZAIDI KWA WA...
- HIZI NDIZO TOP 4 YA STAIRI ZA KUFANYA MAPENZI ZITA...
- Duh Duniani KUNA WATU WAMEUMBWA AISEE!! HEBU CHEKI...
- Madhara kwa Wanaume Wanaopenda Kufanya ngono kinyu...
- Kadri Mwanamke Anavyojiremba Zaidi Hamu ya Kufanya...
- Ukiwa chumbani na mwandani wako, hebu mpe mambo ha...
- Nikinywa Pombe na Kuvuta Bangi ndio Napata Raha Sa...
- Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu.
- Wakubwa Tu!Ona PICHAZ MZUNGU HUYU ANASWA AKINGONOK...
- MKE WA MSHIKAJI: Shem naomba kama vipi nije tumali...
- TAMBUA JINSI YA KUONGEZA MVUTO KWA MPENZI WAKO
- S*x Secrets | The Number One Thing Women Want In Bed
- How to Last Longer During S-3x without Any Difficulty
- Nitaachaje kupenda makalio ya wanawake? Napitiliza...
- I need advice! I really like this guy, but his ___...
- JEUNALITAMBUA HILI KUWA WANAUME MASIKINI NA WASIOJ...
- MKE WANGU SI ATANIUA JAMANI,ANATAKA TUFANYE MAPENZ...
- Ladies: How To Attract The ManOf Your Dreams
- He is always doing this to me,,,, Help Please........
- HATARI SANA! AMINI USIAMINI, UZEMBE HUU UTAKUPOTEZ...
- MADHARA YA KUTOFANYA TENDO LA NDOA KWA MDA MLEFU? ...
- NJIA ZA KUMPATA MPENZI WA MOYO WAKO.
- Love and S-3x After Children: How to Keep the Flam...
- Hakuna asiye na bahati ya kupendwa, Basi tatizo li...
- LAANA Hii!! MREMBO ACHEZA MUZIKI HUKU KACHOMEKA CH...
- Between Coming To America actress & that dress Bey...
- MAMBO YA KUTAFUTA MADEMU HUMU FESIBUKU JIONE YALIY...
- MAPENZI:HUU NDIO UDHAIFU WA WANAUME WA KIBONGO WAW...
- Nimempa Mimba House Girl Hataki Kuitoa Wala Kuondo...
- 4 PICHAZ: DUNIA IMEKWISHA! TAZAMA HUDDAH MONROE AN...
- Is this the future of Kenya? High school girls cau...
- Only 18+>>ANGALIA HII VIDEO JIMAMA LIKIZUNGUSHA MA...
- MKE WA BOSI: ALIPONIGUSA NA CHUCHU ZAKE KIFUANI PA...
- Mwanaume Akikuhudumia/Kukuweka Mjin Cha Moto Utaki...
- Haya ndo mapenzi yalivyo au?
- Ushauri jamani:Jamani Nisaidieni Kufanya Mapenzi K...
- Help Me! Nina Miaka 35 Sijawahi Kufika Kileleni
- SAHAU KUHUSU HUDDAH , ZARI NA MADEMUWOTE WAKALI WA...
- VERA SIDIKA AONYESHA MAZIWA YAKE MTANDAONI LIVE
- YULE MWANADADA ANAJIFANYA AMEZALIWA MARA YA PILI R...
- Miguno ya Kimapenzi Kutoka Chumba cha Jirani Inani...
- Only 18+- HATUA MUHIMU ZA KUFUATA UNAPOMVUA CHUPI ...
- UWIIIIII...PLEASEEEEZZ WAKUBWA TUU 21+.>> JIONEE H...
- Naolewa tu Sababu ya Mimba Yake and Not any Other ...
- Nimependwa na mpenzi wa mtu naomba ushauri
- Mwanamke: Watangulie wambea mapema kabisaa, ili wa...
- HUYU DADA ANAHITAJI MWANAUME WA KU DO NAYE KISA MM...
- Huyu naye!!!Mwanaume Nileyezaa nae haeleweki Nataf...
-
▼
May
(158)