Kufanya Ngono ama mapenzi si tu
kujihisi au kujisikia vizuri. Pia
inaweza kuwa nzuri kwa ajili yenu.
Hapa ni kile ambacho maisha ya
kimapenzi kiafya yanaweza
kufanya kwa ajili yenu au yako.
Soma zaidi ufahamu faida hizi za
kushangaza.
kinga yako vizuri
"Watu walio imara katika ngono
kuchukua siku chache kuwa
wagonjwa," anasema Yvonne K.
Fulbright, PhD mtaalam wa afya ya
ngono.
Watu wanaofanya mapenzi huwa
na kiwango cha juu cha kinga ya
mwili wao dhidi ya wadudu, virusi,
na wavamizi wengine katika
mwili.
Watafiti katika Chuo Kikuu cha
Wilkes huko Pennsylvania
iligundua kuwa wanafunzi wa
chuo ambao walikuwa
wakijihusisha na ngono mara
moja au mbili kwa wiki walikuwa
na kiwango cha juu cha kinga ya
mwili ukilinganisha na baadhi ya
wanafunzi waliokuwa wamefanya
ngono chini ya mara kwa mara.
Kumbuka
Unapaswa bado kufanya mambo
mengine ili kwamba kufanya
mfumo wako wa kinga na uwe
imara, kama vile:
1. Kula vizuri.
2. kuwa imara / kufanya mazoezii.
3. Kupata usingizi wa kutosha.
4. Kuweka au kufanya chanjo
kadiri inavyotakiwa.
1.
Pia katika mapenzi
Matumizi ya kondomu kama
hamjuani wote kuhusu hali
magonjwa ya zinaa yako baina
yenu. Ili kujikinga na afya zenu
kwa kujiepusha na hayo
magonjwa yanayoweza kushusha
kiwango cha kinga ya mwili wako.
2. Inaongeza hamu ya kufanya
mapenzi zaidi/ boosts libido
"Kwa kufanya ngono, hufanya
ngono kuwa bora na kuboresha
hamu yako ya kufanya mapenzi
tena na tena ," anasema Lauren
Streicher, MD. Yeye ni msaidizi
kliniki profesa wa masuala ya uzazi
na magonjwa ya wanawake katika
Chuo Kikuu cha Northwestern
Feinberg katika Shule ya Tiba huko
Chicago.
Kwa wanawake, baada ya ngono
hufanya uke kupata vilainishi /
lubrication, mzunguko wa damu
yake katika mwili, na utanukaji
wake, anasema, hivi vyote ni
baada ya kufanya ngono
humfanya mtu kujisikia vizuri na
kusaidia kutamani zaidi na hivyo
kumwongezea hamu zaidi ya
kusisimua katika suala zima la
mapenzi!!
3. huimarisha cha kibofu cha
mkojo kwa Wanawake.
Uimara wa nyonga/pelvic ni
muhimu kwa ajili ya kuzuia
madhaifu hayo, Kitu ambacho
huathiri karibu ya wanawake 30%
wakati fulani katika maisha yao.
Ngono nzuri ni kama kazi ya
kuimarisha misuli ya kiuno au
nyonga. Wakati una upofika
kileleni/mshindo, kwa sababu
ukazaji wa misuli yake, hufanya
kuimarisha kwa kibofu.
4. Hupunguza shinikizo la damu.
Utafiti unaonyesha uhusiano kati
ya ngono na kupunguza shinikizo
la damu, anasema Joseph J.
Pinzone, MD. Yeye ni Mkurugenzi
Mtendaji na mkurugenzi wa tiba
katika chuo cha Amai.
"Kumekuwa na tafiti nyingi,"
anasema. "Moja ya utafiti wa
kihistoria ulibaini kuwa kujamiiana
hasa (si Punyeto) hupunguza
sytolic shinikizo la damu." na hiyo
ndio kipimo cha ya kwanza cha
shinikizo la damu.
5. Huhesabika kama moja ya
Zoezi
"Ngono ni aina moja kubwa sana
ya zoezi," Pinzone anasema.
Japokuwa haiwezi kuchukua nafasi
kama ya mashine ya kufanyia
mazoezi yale ya kukimbia au
kutembea huku upo pale pale
(treadmill), lakini huwa inakuwa
umefanya kitu fulani.
Ngono hutumia kalori zipatazo
tano kwa dakika, ili hali kalori nne
zaidi kuliko kuangalia TV. Inakupa
nguvu ya ngumi 1-2: Pia huupa
moyo kasi yake kwenda vizuri na
pia kutumia misuli mingine
mbalimbali kufanya kazi.
Hivyo kuwa busy! Unaweza kuwa
na muda wako na ratiba ya
kufanya mazoezi mengine mara
kwa mara. "fanya mazoezi, kwa
uthabiti husaidia kukuuongeza
faida," Pinzone anasema.
6. hupunguza hatari ya kupata
shambulio la moyo.
Maisha mazuri ya ngono ni mazuri
pia kwa moyo wako. Licha ya
kuwa njia nzuri ya kuongeza
kiwango cha ufanisi wa moyo
wako, ngono husaidia kuweka
estrogen yako na kiwango cha
Testosterone katika uwiano sahihi.
"Wakati mmoja au miongoni mwa
hizo homoni unapokuwa chini
hupelekea kusababisha kwa
kupata kwa matatizo mengine
kujitokeza, kama osteoporosis na
hata ugonjwa wa moyo," Pinzone
anasema.
Kufanya ngono mara nyingi zaidi
inaweza kukusaidia. Wakati wa
utafiti mmoja hivi, watu
waliokuwa wamefanya ngono
angalau mara mbili kwa wiki wako
vizuri, ingawa kuna uwezekano wa
kufa na ugonjwa wa moyo kwa
watu ambao hufanya ngono mara
chache zaidi.
7. Hupunguza maumivu ya
mwili
Kabla ya kufikiria panadol au
aspirin, jaribu kufika kileleni au
mshindo katika mapenzi.
"kilele au mshindo unaweza
kuzuia maumivu," anasema Barry
R. Komisaruk, PhD, Profesa, Chuo
Kikuu cha New Jersey State.
Inazitoa homoni ambayo husaidia
kuongeza maumivu yako
kupindukia.
"Imegundulika kuwa kusisimua
uke kunaweza kuzuia usugu na
maumivu ya mguu, na wanawake
wengi wametuambia kuwa
sehemu za siri binafsi kusisimua
kunaweza kupunguza maumivu ya
tumbo la hedhi, na katika baadhi
ya kesi hata maumivu kuumwa na
kichwa hupungua," Komisaruk
anasema.
8. Inaweza kupunguza
uwezekano wa kupata kansa ya
tezi dume / Prostate Cancer
Ngono inaweza kusaidia kuizuia
saratani ya kibofu.
Watu ambao hukojoa mara kwa
mara (angalau mara 21 kwa
mwezi) huwa wako katika
kiwango cha chini cha uwezekano
wa kupata kansa ya kibofu wakati
wa utafiti moja ulisema, ambayo
ulikuwa ukichapishwa katika jarida
la American Medical Association.
Haieleweki wazi kuwa ngono
ndiyo sababu tu ambayo
linaogopwa katika utafiti. Pia kuna
mambo Mengi ambayo huathiri
zaidi na kuchochea hatari ya
kansa. Lakini si ngono tu.
9. Inaboresha hali ya usingizi
Unaweza kukubali kwa haraka
zaidi baada ya ngono, na kwa
sababu nzuri. "Baada ya kufika
kileleni au mshindo, homoni ya
prolactin hutolewa, ambayo
hujihusisha na hisia ya utulivu na
usingizi" baada ya ngono, anasema
Sheenie Ambardar, MD Mtaalamu
wa magonjwa ya akili huko West
Hollywood, Califonia.
10. HUPUNGUZA MSONGO WA
MAWAZO
Kuwa karibu na mpenzi wako
kunaweza kupunguza mawazo na
wasiwasi.
Ambardar anasema kugusana na
kukumbatiana inaweza
kusababisha kutolewa kwa vitu
asilia vya mwili "homoni za
kujisikia-vyema."
Vile vile hisia za kimapenzi
husababisha kutolewa kwa
kemikali katika ubongo ambayo
huunufaisha ubongo katika mfumo
wake mzima. Mapenzi na urafiki
wa ndani unaweza kuongeza
kujithamini kwako na kuwa na
furaha pia, Ambardar anasema. Si
tu inaelezewa katika masuala ya
kiafya, lakini ni moja ya furaha.