maarufu na refu hapa mjinikati karibu na
Ohio st. Niko ndani ya lift mzee mmoja
smart anongea na simu kwa sauti ya
maringo , upole na yenye kujiamini,
kulikua kimya hivyo unasikia kabisa
upande wa pili ni sauti ya kasichana
Mzee - What do you mean..I've told you
before not to worry it is within my
capability usichukue gari ya chini, chagua
landcruiser au yoyote ya juu.
Mdada.- '............. .... ....... ..... ........ ........ .... ............
Mzee. - Ok no problem, njoo sasa hivi
uchukue cheque kwa ajili ya kuwalipa
NSSF niliongea na mkurugenzi wake
akanipromse a nice location for your
appartment.
Anyway we njoo ukifika go to reception I
have already reserve a place, just wait me
in the room nina kikao na waziri
nikimaliza nakuja.
Niliwai kufika nikatoka liftini nikamuacha
bado anaongea.
Kwa kweli niliona hamna sababu ya
kuwasema wadada wanaotembea na
wazee this dudes knows how to care
jamani......
Vijana Siku hizi Hawajui Kuhonga zaidi ya
Kuchafuana tu hata hela ya kununua
sabuni ya kujisafishia hupati.