Talaka kutokana na utafiti zimeongeza kuanzia miaka ya 1980, na watafiti wa mambo wanasema asilimia 70 ya talakazote, wapenzi au wanandoa huachana kwasababu yamambo yaliyokuwepo hata kabla hawajaoana.Swali ni kwamba kwanini uliamua kuwa na mtu huyo? Kwanini hamkusubiri mpaka kila mmoja wenu awe tayari? Watafiti hao wanasema majibu ni rahisi sana, watu wengi huamua kwa matarajio badala ya kuangalia kile kilichopo kwa muda huo wakiamini mtu huyo atabadilika na mambo yatakwenda vizuri, inawezekanaau isiwezekane!Hakuna dalili ya uchumba yoyote ambayo imekusudiwa kusababisha ndoa isiyo na furaha ila wanandoa wenyewe wana jukumu la kufanya hivyo. Kabla ya kuvunja uchumba huo,lazima muongelee vitu vya msingi vinavyosababisha uchumba huo kuvunjika au kuongea na washauri wenu kama mnao kama hamna washauri mnaenda kichwa kichwa. Lengo la makala hii ni kutusaidia kuwa na uelewa wa mambo fulani ya msingi ambayo tunaendelea kufanya makosa kila siku;Kunyanyaswa na kufanyiwa ukatiliKama mwenzi wako aliwahi kukunyanyasa au kukufanyia ukatili, uwe wa matendo, maneno au kihisia inawezekanaikawa moja ya sababu ya kuachana naye. Hata kama hajawahi kukusababishia majeraha, lakini anaonekana kukutawala au kuna matendo yakutumia nguvu hiyo inaweza kukupelekea kuwa na ugomvi ndani ya nyumba hivyo lazima uchukue tahadhari mapema. Namna ya kushughulikia madhara ya ugomvi wa ndani nimagumu kuliko kuepukana nayo kabla ya kuingia huko, kama amewasha taa nyekundu sasa kwanini ung’ang’anie kuingia?Kutofanana kimalengo na aina ya tabiaIngawa inasemekana kuwa hasina chana mara zote hukutana na kwenda pamoja bali kuna vitu vya msingi huwa vinarudisha nyuma wapenzi wengi, kutokana na utafiti. Vitu hivyo ni kama hawana imani moja lazima wapate shida kwenye ndoa yao kwa kuwa wanaamini vitu tofauti ambavyovitaathiri maisha yao ya kila siku na hata watoto watashindwa kujua waelekee wapi, hivyo familia inakuwa haijatengamaa. Kuna vitu vidogo vidogo kama kutofautiana mambo ya siasa, hivyo vinaweza kuyafanya mahusiano yetu kuwa yenye mvuto zaidi. Kuna tabia ambazokama unazichukia sasa na hujaweza kuziweka wazi usitegemee zitaondoka ukifika ndani.Kuwa na malengo tofautiKama mna malengo tofauti vile vile yataathiri maisha ya ndoa. Kama kuna vitu ambavyo havina afya katika mahusiano kama uzembe na uvivu hiyo ni dalili umechagua vibaya. Unatakiwa kuwa na mtu sahihi anayeendana na malengo yako ya maisha , mkitofautiana tu ndani ya nyumba kutakuwa na tofauti nyingi na za kutosha na mwisho wake talaka haitaepukika.Kukosekana upendoIngawa inawezekana unafurahiamuda unaotumia na mwenzi wako mtarajiwa na kuonekana kumjali sana haimaanishi unampenda kama mwenzi wa kuishi naye. Kama unaona wewe au mwenzi wako kuna udanganyifu, au kukosa uaminifu kwa wazi kabisa inawezekana ni ishara ya kuvunja mahusiano hayo.Kutokuwa tayari kwa ajiri ya ndoaNdoa ni tendo la makubaliano kati ya wawili na kuwa tayari kuwa na mtu kwa ajili hiyo. Kutokuwa na uhakika kwa kile unachohitaji kwenye maisha yako kama fedha, hisia au kuridhika vitu ambavyo vinakuondolea ujasiri wa kuendelea kwa ajili ya ndoa inakubidi tu muachanane ingawa itakuumiza bali itawasaidia wote wawili baadaye.
MATUKIO YA SIKU
-
▼
2015
(667)
-
▼
May
(158)
- USHAURI:MUME WANGU ANANILAZIMISHA TUFANYE MAPENZI ...
- MAPENZI:SOMA HAPA JIFUNZE JINSI YA KUDUMISHA UHUSI...
- HIZI NDIO FAIDA 10 ZA KUFANYA MAPENZI KIAFYA
- HAYA NDIO MADHARA YA KUNYONYA UKE WAKATI WA KUFANY...
- HAYA NDO MAMBO MAKUBWA YANAYOVUTIA KWA MWANAMKE HE...
- Hizi Ndio Mbinu za kumuweza, Mwanamke Aliye Mgumu ...
- Nimeishi Naye Ndani ya Ndoa Miaka Mitano, Jogoo La...
- +18-PICHA ZA UCHAFU ZA MADENTI WA CHUO ZILIZOZAGAA...
- HAYA WALE MAZIGIOO HUYU HAPA MREMBO ANAETIKOSA HUK...
- KUFUMANIWA NOMA!! JIONEE JINSI JAMAA ALIVYONASWA N...
- HIZI NDIO FAIDA 10 ZA KUFANYA MAPENZI KIAFYA
- KAMA ULIKUWA HUJUI HII NDIYO SABABU YA MADEMU WENG...
- SHTUKA! Fahamu Mbinu za kutofautisha rafiki na mpe...
- Je, unajua mwenza wako anakupendea kitu gani?
- FAHAMU MADHARA MAKUU MATANO YA KULAMBA SEHEMU ZA S...
- MAPENZI:KUMBE HIZI NDIZO SABABU ZINAZOWAFANYA MWAN...
- HIZI NDIO NJIA TANO KALI ZA KUPATA MTOTO WA KIUME..
- NINAACHIKA KILA MARA KWA SABABU MSIMAMO WANGU WA K...
- HIZI NDO NJIA MUHIMU ZA KUMSHAWISHI MPENZI WAKO KA...
- SHTUKA! KWA NINI UNGOJE ANAYEKUPENDA AKUTOLEE CHOZ...
- HII NDIO SAIZI YA UUME INAYOPENDWA ZAIDI NA WASICH...
- Nimelamba Mchepuko wa Dingi, Kanipa Mambo Matamu S...
- HIZI NDIZO SABABU ZA WANAWAKE WENGI KUCHELEWA KUOL...
- DALILI 10 ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA KIMAPENZI LAKIN...
- JE, UTAJUAJE KAMA UMEMKUNA MPENZI WAKO HASWA? JIFU...
- HIPS NOMA_Fahamu Wanawake Wenye Hips naShida Wanaz...
- YAFAHAMU MADHARA SABA MAKUU YA KUFANYA NGONO KINYU...
- JINSI KUZUIA MIMBA KUTUNGA BAADA YAKUFANYA NGONO B...
- MAPENZI:UKIYAONA YAFUATAYO KWA MPENZI WAKO ACHANA ...
- KAMA HAUTUMII VYAKULA HIVI, NGUVU ZA KIUME UTAZISI...
- YAJUE MATIBABU YA NGUVU ZA KIUME KWA WAATHIRIKA WA...
- SHTUKA! ZIJUE SABABU ZAWANAUME KUCHEPUKA!
- Kushiriki tendo la ndoa mara nyingi hakukufanyi uw...
- OGM! .....Irene Uwoya Releases Sexy Photos while T...
- USIJIDANGANYE MWANAUME HAKOMOLEWI!
- SEHEMU 12 ZA KUMSHIKA MWANAMKE WAKATI WA TENDO LA ...
- UKIYAONA HAYA JUA DEMU ANA UCHI WENYE KINA KIREFU ...
- Naombeni Ushauri; Mwanamke Mwenye Jinsia Mbili Ana...
- NAOMBENI USHAURI JAMANI MTOTO WA AUNCLE ANANITESA ...
- Ukiwa Nacho Lazima Uringe...Hii Ndiyo Raha Ya Mwan...
- MREMBO: MPENZI WANGU SIMUELEWI JAMANI! NISAIDIENI ...
- SHTUKA! USIWE MBULULA, UNA HAKI YA KUPENDA ILA ‘US...
- SHOGA: USIMPE NAFASI MUMEO AWE KARIBU NA NDUGUZO!
- KWA NINI WAPENZI WANACHOKANA HARAKA?
- KUTANA NA MBINU MBADALA ZA KUTONGOZA NA KUMPATA MW...
- MAPENZI: UKIMFANYIA HAYA MPENZI WAKO HATOKUSAHAUKA...
- AMESOMESHWA KUANZIA KIDATO CHA KWANZA HADI CHUO NA...
- FANYA HAYA 6 KUZUIA WATU WASIINGILIE MAPENZI YENU
- Mdada Aliyekwambia Kujua Kuzungusha Kiuno ndo Tike...
- USIRUHUSU MUMEO AFANYIWE MASAJI NA MWANAMKE MWENZIO
- The SECRETS of what WOMEN WANT in MEN
- Je, UKUBWA WA UUME au UDOGO WA UUME unasaidia kati...
- JE, WAJUA WANAWAKE WANAVUTIWA NA NINI ZAIDI KWA WA...
- HIZI NDIZO TOP 4 YA STAIRI ZA KUFANYA MAPENZI ZITA...
- Duh Duniani KUNA WATU WAMEUMBWA AISEE!! HEBU CHEKI...
- Madhara kwa Wanaume Wanaopenda Kufanya ngono kinyu...
- Kadri Mwanamke Anavyojiremba Zaidi Hamu ya Kufanya...
- Ukiwa chumbani na mwandani wako, hebu mpe mambo ha...
- Nikinywa Pombe na Kuvuta Bangi ndio Napata Raha Sa...
- Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu.
- Wakubwa Tu!Ona PICHAZ MZUNGU HUYU ANASWA AKINGONOK...
- MKE WA MSHIKAJI: Shem naomba kama vipi nije tumali...
- TAMBUA JINSI YA KUONGEZA MVUTO KWA MPENZI WAKO
- S*x Secrets | The Number One Thing Women Want In Bed
- How to Last Longer During S-3x without Any Difficulty
- Nitaachaje kupenda makalio ya wanawake? Napitiliza...
- I need advice! I really like this guy, but his ___...
- JEUNALITAMBUA HILI KUWA WANAUME MASIKINI NA WASIOJ...
- MKE WANGU SI ATANIUA JAMANI,ANATAKA TUFANYE MAPENZ...
- Ladies: How To Attract The ManOf Your Dreams
- He is always doing this to me,,,, Help Please........
- HATARI SANA! AMINI USIAMINI, UZEMBE HUU UTAKUPOTEZ...
- MADHARA YA KUTOFANYA TENDO LA NDOA KWA MDA MLEFU? ...
- NJIA ZA KUMPATA MPENZI WA MOYO WAKO.
- Love and S-3x After Children: How to Keep the Flam...
- Hakuna asiye na bahati ya kupendwa, Basi tatizo li...
- LAANA Hii!! MREMBO ACHEZA MUZIKI HUKU KACHOMEKA CH...
- Between Coming To America actress & that dress Bey...
- MAMBO YA KUTAFUTA MADEMU HUMU FESIBUKU JIONE YALIY...
- MAPENZI:HUU NDIO UDHAIFU WA WANAUME WA KIBONGO WAW...
- Nimempa Mimba House Girl Hataki Kuitoa Wala Kuondo...
- 4 PICHAZ: DUNIA IMEKWISHA! TAZAMA HUDDAH MONROE AN...
- Is this the future of Kenya? High school girls cau...
- Only 18+>>ANGALIA HII VIDEO JIMAMA LIKIZUNGUSHA MA...
- MKE WA BOSI: ALIPONIGUSA NA CHUCHU ZAKE KIFUANI PA...
- Mwanaume Akikuhudumia/Kukuweka Mjin Cha Moto Utaki...
- Haya ndo mapenzi yalivyo au?
- Ushauri jamani:Jamani Nisaidieni Kufanya Mapenzi K...
- Help Me! Nina Miaka 35 Sijawahi Kufika Kileleni
- SAHAU KUHUSU HUDDAH , ZARI NA MADEMUWOTE WAKALI WA...
- VERA SIDIKA AONYESHA MAZIWA YAKE MTANDAONI LIVE
- YULE MWANADADA ANAJIFANYA AMEZALIWA MARA YA PILI R...
- Miguno ya Kimapenzi Kutoka Chumba cha Jirani Inani...
- Only 18+- HATUA MUHIMU ZA KUFUATA UNAPOMVUA CHUPI ...
- UWIIIIII...PLEASEEEEZZ WAKUBWA TUU 21+.>> JIONEE H...
- Naolewa tu Sababu ya Mimba Yake and Not any Other ...
- Nimependwa na mpenzi wa mtu naomba ushauri
- Mwanamke: Watangulie wambea mapema kabisaa, ili wa...
- HUYU DADA ANAHITAJI MWANAUME WA KU DO NAYE KISA MM...
- Huyu naye!!!Mwanaume Nileyezaa nae haeleweki Nataf...
-
▼
May
(158)