Mwenzenu karibia naumbuka yaani
nikiona mwanamke mwenye makalio
makubwa nachanganyikiwa kabisa
nakupoteza network, yaani inafikia
mahali hata kama niko kwenye daladala
naenda mahali akipanda mwanamke
aliyejaliwa maeneo ya nyumba basi
atakachoshuka hata kama nikupitiliza
napoenda naona sawa tu ili mradi nimpe
maneno mawili matatu huyo
mwanamke .
Hii Tabia imenifanya nipoteza muda na
mambo mengi ya msingi katika maisha
yangu , moja kubwa nakumbuka mwaka
jana niliitwa kwenye interview shiriki
moja maeno ya Kijitonyama sayansi,
nikiwa kwenye daladala kutokea
mwenge kwenda posta nilijikuta
nimefika posta kwa kumfuata mdada
mmoja, baada ya hapo nikajikuta
nimechelewa hiyo Interview na mbaya
zaidi huyo dada hakutaka hata kuongea
na mimi baada ya kushuka kwenye
dalala.
Waungwana Naombeni ushauri nifanye
nini niache hichi kitabia?