Thursday 14 May 2015

JE, UTAJUAJE KAMA UMEMKUNA MPENZI WAKO HASWA? JIFUNZE HAPA


Leo acha niwape dondoo kadhaa kuhusu namna ya kujua kama umemkuna ipasavyo mwanamke wakati wa tendo la ndoa.

Kufinya shuka kwa nguvuKufinya shuka au kitanda kwa nguvu wakati unampa mambo ni ishara mojawapo ya kuonyesha kwamba inamkuna vizuri.
Kukukumbatia kwa nguvu au kukufinya:Hii pia no moja kati ya ishara nyimgi anazoonyesha mwanamke pindi anapo ... vizuri. 
Kutokwa na jasho ndani ya sekunde chache:Ukiona anatokwa na jasho ndani ya sekunde chache na katika hali isiyo ua kawaida basi jua kua utendaji wako ni mzuri na unamridhisha.
Acha niishie hapo kwa leo, lakini sina maana kwamba kama mwanamke wako haonyeshi moja kati ya ishara hizo au zote basi ndio inamaanisha haumridhishi, hapana. Hizi ni baadhi tu, zipo nyingi tu.