Siku zote mapenzi huyapa maisha thamani lakini wapo ambao hujikuta kwa namna moja ama nyingine wanatengana na wapenzi wao kwa sababu tu ya mihangaiko ya kila sikuyakujitafutia ridhiki, masomo na wakati mwingine utengano huwa ni matokeo ya wapendanao kuishi sehumu tofauti hii huwakumba sana wanafunzi wa vyuo na shule za bweni.Umbali hulifanya penzi baina ya wapendanao kuteteleka kama wapendanao hawatafanya kazi za ziada kuhakikisha wanaziba mianya yote itakayosababisha usaliti kama sio kuachana kabisa.i.Hata hivyo, mapenzi ya mbali huna ni vigumu kuteteleka endapo tu wapendanao wanamapenzi ya dhati na kutamani kuwa pamoja kila wakati na mmoja wapo kuamua kujitoa muhanga kwa kuamia anakoishi ama kufanyia kazi la azizi wake. Hata hivyo, mnaweza kudumisha mapenzi yenu ya mbali endapo utafanya haya:- Mawasiliano ya mara kwa maraMawasiliano ni nguzo muhimu sana baina ya wapendanao, humfanya kilamtu kuhisi uwepo wa mwenzi wake hata kama atakuwa mbali naye. Hivyo, kama una mpenzi wako aliye mbali nawe hakikisha unakuwa naye karibu kwa kumtumia ama sms, email, kadi au simu.Aidha, pindi mnapowasiliana hakikisha humkwazi mwenzako kwa namna yoyote ile, kwani kuna watu wengi wanatabia ya kudharau baadhiya mambo kutokana na kutingwa na shughuli kadha wa kadha, naomba nikuweke wazi kuwa hata kama umebanwa vipi pindi mpenzi wako aliyembali anapokutumia ujumbe kwenye simu yako basi usisite kumjibu katika muda muafaka na siyo kuuchuna hadi ulalamikiwe!Heshimu hisia zakoMapenzi ya kweliyametawaliwa na hisia kali ambazo ndizo huwafanya wapendanao kufikishana kwenye mambo fulani kwani pasipo hisia hata uwe na ujuzi au utundu wakutosha hutapata raha ya mapenzi.Kama kweli unampenda kwa dhati mwenza wako na mmetengana kutokana na sababu za kimasomo ama kazi kwa hakika utakuwa tayari kumtunzia penzi lake hadi mtakapokutana tena.Uaminifu pekee ndio utakaokufanya uwasiliane mara kwa mara na mwenza wako na kwenye uaminifu mapenzi hushamiri huku kila mmoja akimuonea wivu wa hapa na pale mwenzi wake, lakini sio ule wakubomoa! Hivyo heshimu hisia zako kama kweli unampenda mwenziwako kwa kumuonyeshe unampenda.Umbali si kigezo cha kunyimanaMpemwandani wako raha kamili kama ilivyokuwa awali mlipokuwa pamoja! Bila shaka unajiuliza inawezekanaje?Hili linawezekana kwa kutumia njia yoyote ya mawasiliano. Mfano kama nyote mna simu jiandaye vyakutoshanikiwa na maana uhakikishe upo sehemu ambayo utakuwa huru kuongea ama kufanya chochote kitakachokufanya uhisi raha isiyo na kifani na kukufikisha kwenye kilele cha mlima kilimanjaro bila kutarajia.Bila shaka kila mtu anamfahamu vema mpenzi wake na hasa nini hupenda kufanyiwa ili aweze kufika safari yake na kama ndivyo basi hakikisha unafanya mambo yote ambayo ukimfanyia mwenzi wako pindi mnapokuwa kwenye mambo fulani hupagawa.
MATUKIO YA SIKU
-
▼
2015
(667)
-
▼
May
(158)
- USHAURI:MUME WANGU ANANILAZIMISHA TUFANYE MAPENZI ...
- MAPENZI:SOMA HAPA JIFUNZE JINSI YA KUDUMISHA UHUSI...
- HIZI NDIO FAIDA 10 ZA KUFANYA MAPENZI KIAFYA
- HAYA NDIO MADHARA YA KUNYONYA UKE WAKATI WA KUFANY...
- HAYA NDO MAMBO MAKUBWA YANAYOVUTIA KWA MWANAMKE HE...
- Hizi Ndio Mbinu za kumuweza, Mwanamke Aliye Mgumu ...
- Nimeishi Naye Ndani ya Ndoa Miaka Mitano, Jogoo La...
- +18-PICHA ZA UCHAFU ZA MADENTI WA CHUO ZILIZOZAGAA...
- HAYA WALE MAZIGIOO HUYU HAPA MREMBO ANAETIKOSA HUK...
- KUFUMANIWA NOMA!! JIONEE JINSI JAMAA ALIVYONASWA N...
- HIZI NDIO FAIDA 10 ZA KUFANYA MAPENZI KIAFYA
- KAMA ULIKUWA HUJUI HII NDIYO SABABU YA MADEMU WENG...
- SHTUKA! Fahamu Mbinu za kutofautisha rafiki na mpe...
- Je, unajua mwenza wako anakupendea kitu gani?
- FAHAMU MADHARA MAKUU MATANO YA KULAMBA SEHEMU ZA S...
- MAPENZI:KUMBE HIZI NDIZO SABABU ZINAZOWAFANYA MWAN...
- HIZI NDIO NJIA TANO KALI ZA KUPATA MTOTO WA KIUME..
- NINAACHIKA KILA MARA KWA SABABU MSIMAMO WANGU WA K...
- HIZI NDO NJIA MUHIMU ZA KUMSHAWISHI MPENZI WAKO KA...
- SHTUKA! KWA NINI UNGOJE ANAYEKUPENDA AKUTOLEE CHOZ...
- HII NDIO SAIZI YA UUME INAYOPENDWA ZAIDI NA WASICH...
- Nimelamba Mchepuko wa Dingi, Kanipa Mambo Matamu S...
- HIZI NDIZO SABABU ZA WANAWAKE WENGI KUCHELEWA KUOL...
- DALILI 10 ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA KIMAPENZI LAKIN...
- JE, UTAJUAJE KAMA UMEMKUNA MPENZI WAKO HASWA? JIFU...
- HIPS NOMA_Fahamu Wanawake Wenye Hips naShida Wanaz...
- YAFAHAMU MADHARA SABA MAKUU YA KUFANYA NGONO KINYU...
- JINSI KUZUIA MIMBA KUTUNGA BAADA YAKUFANYA NGONO B...
- MAPENZI:UKIYAONA YAFUATAYO KWA MPENZI WAKO ACHANA ...
- KAMA HAUTUMII VYAKULA HIVI, NGUVU ZA KIUME UTAZISI...
- YAJUE MATIBABU YA NGUVU ZA KIUME KWA WAATHIRIKA WA...
- SHTUKA! ZIJUE SABABU ZAWANAUME KUCHEPUKA!
- Kushiriki tendo la ndoa mara nyingi hakukufanyi uw...
- OGM! .....Irene Uwoya Releases Sexy Photos while T...
- USIJIDANGANYE MWANAUME HAKOMOLEWI!
- SEHEMU 12 ZA KUMSHIKA MWANAMKE WAKATI WA TENDO LA ...
- UKIYAONA HAYA JUA DEMU ANA UCHI WENYE KINA KIREFU ...
- Naombeni Ushauri; Mwanamke Mwenye Jinsia Mbili Ana...
- NAOMBENI USHAURI JAMANI MTOTO WA AUNCLE ANANITESA ...
- Ukiwa Nacho Lazima Uringe...Hii Ndiyo Raha Ya Mwan...
- MREMBO: MPENZI WANGU SIMUELEWI JAMANI! NISAIDIENI ...
- SHTUKA! USIWE MBULULA, UNA HAKI YA KUPENDA ILA ‘US...
- SHOGA: USIMPE NAFASI MUMEO AWE KARIBU NA NDUGUZO!
- KWA NINI WAPENZI WANACHOKANA HARAKA?
- KUTANA NA MBINU MBADALA ZA KUTONGOZA NA KUMPATA MW...
- MAPENZI: UKIMFANYIA HAYA MPENZI WAKO HATOKUSAHAUKA...
- AMESOMESHWA KUANZIA KIDATO CHA KWANZA HADI CHUO NA...
- FANYA HAYA 6 KUZUIA WATU WASIINGILIE MAPENZI YENU
- Mdada Aliyekwambia Kujua Kuzungusha Kiuno ndo Tike...
- USIRUHUSU MUMEO AFANYIWE MASAJI NA MWANAMKE MWENZIO
- The SECRETS of what WOMEN WANT in MEN
- Je, UKUBWA WA UUME au UDOGO WA UUME unasaidia kati...
- JE, WAJUA WANAWAKE WANAVUTIWA NA NINI ZAIDI KWA WA...
- HIZI NDIZO TOP 4 YA STAIRI ZA KUFANYA MAPENZI ZITA...
- Duh Duniani KUNA WATU WAMEUMBWA AISEE!! HEBU CHEKI...
- Madhara kwa Wanaume Wanaopenda Kufanya ngono kinyu...
- Kadri Mwanamke Anavyojiremba Zaidi Hamu ya Kufanya...
- Ukiwa chumbani na mwandani wako, hebu mpe mambo ha...
- Nikinywa Pombe na Kuvuta Bangi ndio Napata Raha Sa...
- Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu.
- Wakubwa Tu!Ona PICHAZ MZUNGU HUYU ANASWA AKINGONOK...
- MKE WA MSHIKAJI: Shem naomba kama vipi nije tumali...
- TAMBUA JINSI YA KUONGEZA MVUTO KWA MPENZI WAKO
- S*x Secrets | The Number One Thing Women Want In Bed
- How to Last Longer During S-3x without Any Difficulty
- Nitaachaje kupenda makalio ya wanawake? Napitiliza...
- I need advice! I really like this guy, but his ___...
- JEUNALITAMBUA HILI KUWA WANAUME MASIKINI NA WASIOJ...
- MKE WANGU SI ATANIUA JAMANI,ANATAKA TUFANYE MAPENZ...
- Ladies: How To Attract The ManOf Your Dreams
- He is always doing this to me,,,, Help Please........
- HATARI SANA! AMINI USIAMINI, UZEMBE HUU UTAKUPOTEZ...
- MADHARA YA KUTOFANYA TENDO LA NDOA KWA MDA MLEFU? ...
- NJIA ZA KUMPATA MPENZI WA MOYO WAKO.
- Love and S-3x After Children: How to Keep the Flam...
- Hakuna asiye na bahati ya kupendwa, Basi tatizo li...
- LAANA Hii!! MREMBO ACHEZA MUZIKI HUKU KACHOMEKA CH...
- Between Coming To America actress & that dress Bey...
- MAMBO YA KUTAFUTA MADEMU HUMU FESIBUKU JIONE YALIY...
- MAPENZI:HUU NDIO UDHAIFU WA WANAUME WA KIBONGO WAW...
- Nimempa Mimba House Girl Hataki Kuitoa Wala Kuondo...
- 4 PICHAZ: DUNIA IMEKWISHA! TAZAMA HUDDAH MONROE AN...
- Is this the future of Kenya? High school girls cau...
- Only 18+>>ANGALIA HII VIDEO JIMAMA LIKIZUNGUSHA MA...
- MKE WA BOSI: ALIPONIGUSA NA CHUCHU ZAKE KIFUANI PA...
- Mwanaume Akikuhudumia/Kukuweka Mjin Cha Moto Utaki...
- Haya ndo mapenzi yalivyo au?
- Ushauri jamani:Jamani Nisaidieni Kufanya Mapenzi K...
- Help Me! Nina Miaka 35 Sijawahi Kufika Kileleni
- SAHAU KUHUSU HUDDAH , ZARI NA MADEMUWOTE WAKALI WA...
- VERA SIDIKA AONYESHA MAZIWA YAKE MTANDAONI LIVE
- YULE MWANADADA ANAJIFANYA AMEZALIWA MARA YA PILI R...
- Miguno ya Kimapenzi Kutoka Chumba cha Jirani Inani...
- Only 18+- HATUA MUHIMU ZA KUFUATA UNAPOMVUA CHUPI ...
- UWIIIIII...PLEASEEEEZZ WAKUBWA TUU 21+.>> JIONEE H...
- Naolewa tu Sababu ya Mimba Yake and Not any Other ...
- Nimependwa na mpenzi wa mtu naomba ushauri
- Mwanamke: Watangulie wambea mapema kabisaa, ili wa...
- HUYU DADA ANAHITAJI MWANAUME WA KU DO NAYE KISA MM...
- Huyu naye!!!Mwanaume Nileyezaa nae haeleweki Nataf...
-
▼
May
(158)