Sunday 6 July 2014

MATUMIZI MABAYA YA MTANDAO: WANAFUNZI WA CBE DOM WACHAFUANA KWA PICHA CHAFU NA MATUSI JUU INSTARGRAM

Baadhi ya wanafunzi
wa CBE Dodoma  wamekerwa na kitendo cha kuchafuliwa kwenye mtandao wa Intagram  na mtu ambaye hawajamfamu kwa jina ingawa baadhi yao wanadai kuwa
ni mwanafunzi mwenzao ambaye anatumia jina tofauti kabisa na lake na pia yupo miongoni mwao lkn bado hawajamfahamu....


Mwanafunzi huyo anayetumia Ac Feki ya Instar anaposti picha za wanafunzi wenzake na kuwaponda kuwa ni malaya wanaouza K.... pamoja na kuwachafua wengine kuwa ni mashoga. Baadhi ya wanafunzi walio wengi wa CBE wamechukizwa na kitendo hicho cha

kuchafuliwa bila sababu yoyote na wamedhamiria kumsaka huyo mtu kwa gharama yoyote ili aweze kuwajibishwa:Instargram anatumia jina  LEE_IN_BOY