WAPO wanaojuta kupenda lakini mbaya zaidi wapo wanaolia kwa sababu ya
vitu vidogo vidogo ambavyo vimekuwa haviwaendei sawa katika uhusiano
wao.Ni jambo lililo wazi kwamba, usaliti umekuwa ukiwatesa wengi tena
ukijaribu kuchunguza sababu za baadhi ya watu kuwasaliti wapenzi wao,
kutoyajua mapenzi yaleya faragha ni mojawapo.apo wasichana au niseme
wanawake ambao kimaumbile wana mvuto sana.Wamejaaliwa uzuri wa sura na
kila kitu kiasi cha kutamaniwa na kila mwanaume wanayekutana
naye.Lakini linapozungumziwa suala la mapenzi kwa mwanamke, wanaume
wanaangalia vitu vingi, achilia mbali hilo la muonekano, pia
wanaangalia utundu na ubunifu wa faragha. Hapo ndipo panapowakosesha
raha baadhi ya wanawake wazuri.
vitu vidogo vidogo ambavyo vimekuwa haviwaendei sawa katika uhusiano
wao.Ni jambo lililo wazi kwamba, usaliti umekuwa ukiwatesa wengi tena
ukijaribu kuchunguza sababu za baadhi ya watu kuwasaliti wapenzi wao,
kutoyajua mapenzi yaleya faragha ni mojawapo.apo wasichana au niseme
wanawake ambao kimaumbile wana mvuto sana.Wamejaaliwa uzuri wa sura na
kila kitu kiasi cha kutamaniwa na kila mwanaume wanayekutana
naye.Lakini linapozungumziwa suala la mapenzi kwa mwanamke, wanaume
wanaangalia vitu vingi, achilia mbali hilo la muonekano, pia
wanaangalia utundu na ubunifu wa faragha. Hapo ndipo panapowakosesha
raha baadhi ya wanawake wazuri.