Mimi ni Binti wa Miaka 21 kwa sasa , Naandika hili kuwaomba wadau
ushauri..ombo langu kidogo lina utata hasa maeneo ya makalio ki ufupi
nimejaliwa sana sijisifii ..Pamoja na Kujaliwa huko nimekuwa napata
shida sana ninapokuwa naenda mahali kutembea ama chuoni kwani maungo
yangu ya nyuma hutikisika sana kiasi kwamba huamsha hisia za wapita
njia za zingine mpaka napigiwa miluzi njiani na kushangiliwa kitu
ambacho sikipendi kwa sasa mpaka nimepunguza mizunguko kwa ajili
hiyo..Je nifanyanye ili yasitingishike nitembeapo ?
ushauri..ombo langu kidogo lina utata hasa maeneo ya makalio ki ufupi
nimejaliwa sana sijisifii ..Pamoja na Kujaliwa huko nimekuwa napata
shida sana ninapokuwa naenda mahali kutembea ama chuoni kwani maungo
yangu ya nyuma hutikisika sana kiasi kwamba huamsha hisia za wapita
njia za zingine mpaka napigiwa miluzi njiani na kushangiliwa kitu
ambacho sikipendi kwa sasa mpaka nimepunguza mizunguko kwa ajili
hiyo..Je nifanyanye ili yasitingishike nitembeapo ?