Thursday 31 July 2014

KAMA HAUNA UZOEFU WA KUMPAGAWISHA MUME WAKO.... HII NDIYO FURSA YAKO YA KUPATA MAUTUNDU!!! SOMA HAPA>>>



Kwanza kabisa nimefunga ndoa mwaka jana na kusema ukweli swala la mapenzi si mtaalam sana na nimekulia kwenye familia ya Kikristo sana kiasi kwamba nimekua
najua sex ni dhambi.  Nilikuwa na boyfriend wa kwanza nilipomaliza Form Six hadi tunaachana nilikuwa sijui ku orgasm ni nini, yaani ile kufika kilele nilikuwa sijawahi. 
Nimempata huyu ambaye tumefunga ndoa mwaka jana na imenichukua muda hata kufika kilele, ila kwa sasa nafika lakini mara moja moja.  Tuje kwenye point sasa, huwa napenda sana kusoma blog yako na ambayo nilishawahi kufanya ni mimi kukaa juu halafu nakuwa kama naingiza mboo na kutoa kama mara kadhaa kisha naingiza yote na kubana miguu huku naenda juu chini na kuzungusha kiuno kiasi maana si mtaalam sana wa kiuno na huwa yeye anaipenda sana hata mimi inanifurahisa sana hii style.
Kwenye romance nimifunza kunyonya kutoka kwenye blog yako sasa nataka kujua niendelee kufanya nini ili nizidi kumpagawisha Mume wangu, yaani utundu mbali mbali tukiwa kitandani au faragha wawili.  Nashukuru sana na nategemea msaada wako, Mama K" 
 RAHA ZAKO: Mama K asante sana kwa ushirikiano. Nimefurahi kufahamu kuwa umechukua maelezo hapa na kuyafanyia kazi ili kufurahia maisha yako ya ndoa na uhusiano wenu wa kingono.  Kumpagawisha mwanaume ni rahisi sana as long as wewe mwanamke ni mtundu, mvumbuzi, unapenda kujaribu na unajua ku-time.....ukijaribu kitu na yeye kuonyesha kukipenda haina maana kila siku unakifanya hichochicho (atakuwa bored)....unatakiwa kukifanya mara chache kisha unakiacha na kufanya kitu kingine tofauti au kile ambacho hujamfanyia kwa muda mrefu na baada ya hapo unarudia ulichomfanyia siku ile n.k......sijui unanielewa?.  
Usipoteze muda sana kuwaza au kujishitukia kuwa hujui namna ya kumpagawisha kwani hii itakuwa inasababisha wewe kushindwa kufurahia tendo na hata kukosa kufika kileleni kwa vile akili yako haijatulia kutokana na hofu ya kumpagawisha mumeo.  Ili mwanamke ufurahie tendo unatakiwa kutuliza akili yako na kufurahia kile unachokifanya, tafadhali pitia topic yangu kuhusiana na kilele kwa mwanamke kwa kubofya hapa, vilevile itakuwa vema kama utasoma Makala hii kwa kubonyeza hapa.

 Jaribu mtindo wa ufanyaji unaitwa Endikeka, kunyonya uume kwa muda mrefu kwa kutumia mitindo 3 tofauti kwa wakati mmoja.. nausisahau hii bonyeza hapa kwa maelezo zaidi. Vilevile mara moja kwa wiki au kila anapokuwa amechoka mkande mumeo na malizia kwa kufanya nae mapenzi kwa mtindo/mkao wowote rahisi ambao hautomfanya ashughulike ikiwa kachoka, kama hajachoka basi fanya vyovyote mnavyotaka/weza.  Sasa haya machache ukiongezea yaliyoelezwa na wachangiaji pamoja na uyajuayo na kubuni mengine kutokana na unavyoufahamu mwili wa mumeo hakika atakuwa anapagawika vema na maisha yenu ya kingono yatakuwa yenye afya.  Nawatakia kila la kheri!