NAAM kama ilivyo ada yetu, tumekutana
tena kwenye kona yangu mimi shangingi
mstaafu mwingine fotokopi, nasikia kuna
watu wanajiita mashangingi wastaafu sifa
yao kubwa kunywa pombe za watu na
kuambulia kipigo mikovu kama kibaka
mzoefu.
Siku zote tutashindana lakini mimi nitabakia
namba moja, najua ujuayo na usiyojua, kaa
chini mwali nikufunde ulikimbia unyago
hujui mizungu inaokotwaje. Ndiyo maana
nikasema mtashindana lakini hamtashinda
namba moja nitabakia mwenyewe.
Wapo wanaotaka eti tukutane hadharani
tuoneshane nani zaidi, bado nakuelezeni
msipoteze muda wenu kunijadili moja
mpaka kumi nimekamata mie sijui ninyi
wenzangu mmeshika namba ngapi hammo
hata kwenye kumi bora.
Hebu nipishe niwape raha au unataka
umaarufu kupitia jina langu, sikukatazi
lakini kimoyomoyo unajua kabisa anti Nasra
namba moja yake mpaka kumi ila kuanzia
kumi na moja kanyaganeni huko siwaingilii.
Hebu tuzungumze kilichotutoa majumbani
kwetu na kununua gazeti kisha kuisoma
kona hii.
Leo nataka kuzungumza na mijanamume
yenye kukimbilia kwa waganga kuongeza
ukubwa wa nyeti. Jamani nakuulizeni ninyi
waganga wa kienyeji mnaoongeza ukubwa
wa bakora mnajua ukubwa wa chungu
anachokwenda kuingiza mwiko wake?
Unajisikia raha gani unapoingiza mwiko
kwenye chungu, mwenzio anauma meno
kwa maumivu nani alikuambia raha upate
wewe peke yako. Basi leo nataka
kuwaelezea kitu kimoja hasa ninyi
mnaojiona bakora zenu fupi.
Usikimbilie kwa mganga kuongeza
ukubwa, nani aliyekuambia ukubwa wa
mkono ukoleza utamu wa ngoma. Au
udogo wa mkono hupunguza utamu wa
ngoma?
Hebu nisikilize tena nisikilize kwa makini
kutomfurahisha mpenzio si udogo wa
mwiko bali kujua kuutumia, unakimbilia
kuongeza ukubwa wa nanihino ili
umfurahishe mkeo au umkomoe?
Siku zote vita ni mbinu si manguvu mengi,
vilevile utamu wa mahaba uwe mtundu wa
kujua nikae engo gani mpenzio anapokuwa
amekaa mkao fulani. Wengi najua hamjui
matumizi ya mitindo ya mapenzi (Style)
maana ya mitindo ya mapenzi ni kutokana
na maumbile ya mwanaume.
Kama mafupi mpenzio unatakiwa umuweke
mtindo gani kama marefu vile vile mpenzio
unatakiwa umuweke mtindo
gani.Ukishajua matumizi ya staili za
mapenzi hutasumbuka kukimbilia kwa
waganga, hivi nani aliyekuambia mpaka
ufike chini ya mchanga ndipo mpenzio
apate raha, jamani raha zinapatikana hata
mwanzo mwa kisima kwa kujua kuteka
maji kwa kata.
Huchoti maji mengi jaza kidogo… kidogo…
kidogo… kidogo, hebu kajaribu umsikie
mpenzio atakupa salamu gani.
Pia nataka kuwaeleza wote wanaokimbilia
kuongeza ukubwa wa bakora zao, mnajua
madhara yake?
Basi nataka kukueleza maumbile yaliyo bora
ni yale uliyoumbiwa na Mungu, ukiyaongeza
baada ya muda huishiwa nguvu na kujikuta
kwenye tatizo lingine la kutafuta nguvu za
kiume.
Waulize waliyoongeza ukubwa sasa hivi
wanajuta ngoma ikilala hainyanyuki tena
wamebakia kula kwa macho mikono
kupapasa bila kufaidi. Bakora zao
zimebakia kama magobore ya mbao hayana
kazi bora wayakate wawashie moto wa
kuchemshia maji.
Hivi jamani kucha zinazokuna kwa raha fupi
au ndefu, siku zote kucha fupi zina raha
zake, ukiwa na kucha ndefu huwezi
kumkuna mtu zaidi ya kumuumiza na
kumsababishia vidonda.
Nina imani nimesomeka, basi ndiyo mimi
Anti Nasra Shangingi Mstaafu.
tena kwenye kona yangu mimi shangingi
mstaafu mwingine fotokopi, nasikia kuna
watu wanajiita mashangingi wastaafu sifa
yao kubwa kunywa pombe za watu na
kuambulia kipigo mikovu kama kibaka
mzoefu.
Siku zote tutashindana lakini mimi nitabakia
namba moja, najua ujuayo na usiyojua, kaa
chini mwali nikufunde ulikimbia unyago
hujui mizungu inaokotwaje. Ndiyo maana
nikasema mtashindana lakini hamtashinda
namba moja nitabakia mwenyewe.
Wapo wanaotaka eti tukutane hadharani
tuoneshane nani zaidi, bado nakuelezeni
msipoteze muda wenu kunijadili moja
mpaka kumi nimekamata mie sijui ninyi
wenzangu mmeshika namba ngapi hammo
hata kwenye kumi bora.
Hebu nipishe niwape raha au unataka
umaarufu kupitia jina langu, sikukatazi
lakini kimoyomoyo unajua kabisa anti Nasra
namba moja yake mpaka kumi ila kuanzia
kumi na moja kanyaganeni huko siwaingilii.
Hebu tuzungumze kilichotutoa majumbani
kwetu na kununua gazeti kisha kuisoma
kona hii.
Leo nataka kuzungumza na mijanamume
yenye kukimbilia kwa waganga kuongeza
ukubwa wa nyeti. Jamani nakuulizeni ninyi
waganga wa kienyeji mnaoongeza ukubwa
wa bakora mnajua ukubwa wa chungu
anachokwenda kuingiza mwiko wake?
Unajisikia raha gani unapoingiza mwiko
kwenye chungu, mwenzio anauma meno
kwa maumivu nani alikuambia raha upate
wewe peke yako. Basi leo nataka
kuwaelezea kitu kimoja hasa ninyi
mnaojiona bakora zenu fupi.
Usikimbilie kwa mganga kuongeza
ukubwa, nani aliyekuambia ukubwa wa
mkono ukoleza utamu wa ngoma. Au
udogo wa mkono hupunguza utamu wa
ngoma?
Hebu nisikilize tena nisikilize kwa makini
kutomfurahisha mpenzio si udogo wa
mwiko bali kujua kuutumia, unakimbilia
kuongeza ukubwa wa nanihino ili
umfurahishe mkeo au umkomoe?
Siku zote vita ni mbinu si manguvu mengi,
vilevile utamu wa mahaba uwe mtundu wa
kujua nikae engo gani mpenzio anapokuwa
amekaa mkao fulani. Wengi najua hamjui
matumizi ya mitindo ya mapenzi (Style)
maana ya mitindo ya mapenzi ni kutokana
na maumbile ya mwanaume.
Kama mafupi mpenzio unatakiwa umuweke
mtindo gani kama marefu vile vile mpenzio
unatakiwa umuweke mtindo
gani.Ukishajua matumizi ya staili za
mapenzi hutasumbuka kukimbilia kwa
waganga, hivi nani aliyekuambia mpaka
ufike chini ya mchanga ndipo mpenzio
apate raha, jamani raha zinapatikana hata
mwanzo mwa kisima kwa kujua kuteka
maji kwa kata.
Huchoti maji mengi jaza kidogo… kidogo…
kidogo… kidogo, hebu kajaribu umsikie
mpenzio atakupa salamu gani.
Pia nataka kuwaeleza wote wanaokimbilia
kuongeza ukubwa wa bakora zao, mnajua
madhara yake?
Basi nataka kukueleza maumbile yaliyo bora
ni yale uliyoumbiwa na Mungu, ukiyaongeza
baada ya muda huishiwa nguvu na kujikuta
kwenye tatizo lingine la kutafuta nguvu za
kiume.
Waulize waliyoongeza ukubwa sasa hivi
wanajuta ngoma ikilala hainyanyuki tena
wamebakia kula kwa macho mikono
kupapasa bila kufaidi. Bakora zao
zimebakia kama magobore ya mbao hayana
kazi bora wayakate wawashie moto wa
kuchemshia maji.
Hivi jamani kucha zinazokuna kwa raha fupi
au ndefu, siku zote kucha fupi zina raha
zake, ukiwa na kucha ndefu huwezi
kumkuna mtu zaidi ya kumuumiza na
kumsababishia vidonda.
Nina imani nimesomeka, basi ndiyo mimi
Anti Nasra Shangingi Mstaafu.