Tuesday 29 July 2014

HUYU DADA ANALAANA. JAMANI TAZAMA KITU ALICHOKIFANYA KWA MADAI YA KUMFURAHISHA MPENZI WAKE, SASA AFUAHISHWA YEYE

Kama hujawai shuhudia upuuzi wa walimwengu basi shuhudia kwa huyu dada. Jamani hivi huyu dada anaakili timamu kweli?

Naomba nisieleze sana ila uone mwenyewe picha zake alizopiga na kutupia mtandaoni mwenyewe akitafuta mwanaume wakumkula. Jamani sisi hatutangazi biashara kama hizi ila kama utampenda sema tuweke mawasiliano yake hapa. ......hii ni laaana! mbona imekuwa shida!