Madhara anayoyapata mwanaume anayependa mchezo huo wa kufanya Mapenzi
kinyume na maumbile ni kama ifuatavyo:-#: Husababisha kusinyaa au
kuweka makovu kwenye njia ya haja ndogo.#: Njia ya haja ndogo kuziba
kiasi au kuziba kabisa.#: Kupata saratani (kansa) ya tezi za figo
(prostate gland).#: Kupata magonjwa sugu ya uti wa mgongo.#:
Kuharisha.#: Maambukizi ya VVU ambapo mwisho wake ni Upungufu wa Kinga
Mwilini (Ukimwi).#: Baadaye mhusika kupata msongo wa mawazo ausonona
kwa kujutia tendo hilo. KWAUPANDE WA MWANAMKE.Ukizoea sana kupigwa
nyuma na mishipa ya huko kutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa
wakatiwa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la
kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo
hulegea baada ya kuzaa.Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha
na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi.Ukiangalia yale
yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko
yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda.Kila mwenye tatizo
aende kwenye hospitali yoyote kubwa iliyo karibu au Tiba ya kwanza ni
kuachana na mchezo huo kisha unaweza kufanya taratibu zingine za
kucheki afya yako..
kinyume na maumbile ni kama ifuatavyo:-#: Husababisha kusinyaa au
kuweka makovu kwenye njia ya haja ndogo.#: Njia ya haja ndogo kuziba
kiasi au kuziba kabisa.#: Kupata saratani (kansa) ya tezi za figo
(prostate gland).#: Kupata magonjwa sugu ya uti wa mgongo.#:
Kuharisha.#: Maambukizi ya VVU ambapo mwisho wake ni Upungufu wa Kinga
Mwilini (Ukimwi).#: Baadaye mhusika kupata msongo wa mawazo ausonona
kwa kujutia tendo hilo. KWAUPANDE WA MWANAMKE.Ukizoea sana kupigwa
nyuma na mishipa ya huko kutanuka, basi inasemekana kuwa utatatizwa
wakatiwa kujifungua/kuzaa, si hivyo tu bali unaweza ukawa na tatizo la
kuvuja mkojo kwani hutoweza kukaza tena misuli yako ukeni ambayo
hulegea baada ya kuzaa.Swala muhimu sio kutisha watu bali kuwaelimisha
na kuwaachia wao wachague mchele upi na pumba zipi.Ukiangalia yale
yote yanayokatazwa au kuitwa miiko ndiyo yanayofanywa zaidi kuliko
yale tunayoruhusiwa kuyazungumzia na kuyatenda.Kila mwenye tatizo
aende kwenye hospitali yoyote kubwa iliyo karibu au Tiba ya kwanza ni
kuachana na mchezo huo kisha unaweza kufanya taratibu zingine za
kucheki afya yako..