Tuesday 1 July 2014

(+18)DENTI WA CHUO AVUJISHIWA PICHA ZA UTUPU, BAADA YA KUJISAHAU NA KUMPA JAMAA FLASH YENYE GROUP WORK.



denti mmoja wa chuo kimoja ambacho tusingependa kukitaja jina kwa kuhofia maadili, amejikuta akipata aibu ya mwaka baada ya picha zake za faragha kusambaa kwa kasi ya ajabu mtandaoni , denti huyo
anayesoma masomo ya biashara inadaiwa alikusanya kazi ambayo waliachiwa na mwalimu wao sasa kwa bahati mbaya alisahau kuzifuta kwenye frash na ndipo
zikasambaa, hapo
haijajulikana bado zimevujishwa na nani kati ya mwalimu au huyu jamaa tunayekusanya kazi kwake hili ampelekee mwalimu alizungumza rafiki wa karibu wa denti huyo,akome kwani amezoea amewahi kupiga zingine bhana unabisha?
  hivi sasa rafiki yangu. hasomi amechanganyikiwa anahofia siku baba yake atakapoziona picha hizo
kwani anasema ni mkali mpaka anamuogopa, jamani ushauri tu mabintimsijiachie sana na camera zitawaponza kama huyu dada, ni hayo tu