Monday 31 July 2017

Usimwamini Mwanamke Hata Kama Unamtania

Aliesema "USIMWAMIN MWANAMKE
HATA KAMA UNAMTANIA" hajakosea
huu msemo umekamilika na wala
hauna mapungufu yoyote kabisa
twende pamoja ili uuamin huu msemo
kama upo chuo kimoja au shule moja
au wote mpo facebook au twitter bbm
ndio utaamin kwa sana huu msemo
Mnunulie gift yoyote eg. Card, toy
maua au kitu chochote mpenzi wako
kaa siku mbili muulize ile gift unayo
utakuta kashahonga na yeye kashampa
bwana ake mwingine
Buni sms ya ukweli kisha msifie alafu
umtumie balaa lake utaona kesho na
yeye kashamtumia bwana ake mwingine
Mpe hela labda laki hivi mwambie hii
nenda kasuke na uitumie na matumizi
yako mengine hapo hapo nusu ya hela
yako anapewa mwanaume mwingine
Mtoe out muoneshe sehem nzuri za
kukuaa mtu na mpenzi wake kesho tu
atakuomba hela alafu atakapeleka ka
bwana chake sehem ambayo umemuonesha
Mwambie siri zako zote uone anavyozianika
mwambie baby kesho njoo hom peke
ako nataka tutoke uone wanavyokuja
hostel nzima balaaaa kinomaa
mpangishie chumba kitanda chako
kodi unalipa wewe hela kula unamwachia
pata dharula safiri umwache peke ake
uone unavyosalitiwa kwenye kitanda
chako shuka lako chakula chako