Monday 26 January 2015

WANAWAKE WENGI WANADANGANYA KUWA WAMEFIKA KILELENI , KUWA MAKINI SANA

Haya mambo ya mapenzi yana uwanja mkubwa sana. Na kila mtu ana mapito yake kwenye hili swala. Kufika kileleni kwa mwanamke imegundulika sio wote wanafika kileleni, niwachache sana wanaofika japo ni wengi wanaosema nimefika kileleni kwa
kudanganya, waongo.

Unajua kufika kileleni ni sifa katika maswala ya mapenzi na mwanaume anajisikia special kama amemfikisha kileleni mwenza wake na mwanamke anafurahi sana afikapo kileleni na kuona mwanaume amefurahia penzi lake so atafanya kila jitihada kuhakikisha anamfurahisha Mwanaume ikiwemo kujifanya analia eti anaumia japo wapo wanao umia kweli. Wanawake wanajua wakifika kileleni mwanaume anafurahi sana. So ili kumfurahisha mwanaume ataact kufika. Wajanja sana na wanatupenda jamani dah!!.

Hata hivo kuna baadhi ya sabau zinazosababisha adanganye awe ajifanye kufika kileleni. yaani unakuta mwanamke anajinyonganyonga, anapiga kelele, anakukumbatia kwa nguvu kama mtu anayetaka kufikia mshindo kumbe ni mbwembwe tu. Baadhi tu ya sababu chache ni:-

1. Wanafanya hivo ili kumlidhisha mpenzi wake wa kiume ili ajisifie kafanya kazi. anamtia moyo ili asijioni hawezi kitu. Kwana mwanamme inatakiwa umfikishe mpenzio.

2.Mwanamke anakua hayupo kwenye mood ya kufanya mapenzi so anaamua kujifanya anamaliza ili usiendelee kumsumbua. So atajifanya kafika kileleni na kukushukuru asante mpenzi wangu. yaani nmechoka hata siwezi kurudia tena. so anajifanya kafika ili kumfanya mpenzi wake amalize haraka/anamuongezea presha ya kumaliza.

3. Kama anaumia. Mwanamke kama anaumie atajifanya anafika kileleni ili kumuwahisha mpenzi wake kumaliza.

4.Akiwa amekasirika. Mwanamke akiwa amekasirika hawezi kufanya mapenzi kabisa, ndo maana wanashauri mfanye mapenzi miwa katika hali nzuri ya furaha. Hata hivo mwanamke anaweza kufanya mapenzi ili asimuudhi

mpenzi wake. hata akifanya atajitahidi anahakikisha mwanamme unamaliza haraka kwa kukupa presha kana kwamba anafiaka kileleni.

5.Kukosa mbinu za mapenzi. Unapokua kwenye uwanja wa mapenzi au sita kwa sita wenyewe wanavoita, mwanamke ndie kocha. mwanamme cha kufanya ni kumsikiliza na kuchokua hints. Akikuambia nenda haraka haraka basi fanya, akikuambia punguza supidi fanya hivo, akikuambia tufanye hivi msikilize kwa makini vinginevo utamuudhi. Na ukishamuudhi ili akuage kwa uzuri atakuambia namaliza. akishamaliza mchezo umeisha.

6.Kuchoka. Mwanamke akiona mwanamme kachoka na bado anaforce basi atajifanya anamaliza ili kukufanya upumzike coz anajua akikuambia pumzika utajisikia vibaya ataonesha dalili za kufika kileleni. na wewe utaamini kweli kumbe wapi. hawa viumbe wajanja sana.

7.Sio wote wanaofikishwa kieleleni na uume hata ukeshe. So ni vizuri kumjua mpenzi wako. Kuna wanaofika kileleni just kwa kuchezewa sehemu zao, kunyonywa, kupapaswa n.k.

Zipo sababu kibao zinazo sababisha japo kwa leo nimewaelezea hizi chache. Japo nyingine ni za kiwizi wizi.

Ushauri wangu. Mwanmke na mwanaume ni vizuri kuwa muwazi kwa mpenzi wako. Sema kile unachotaka kufanyiwa. huna haja ya kufake. Wiki ijayo nikipata nafasi ntawaelezea mikao mizuri ya kufanya mapenzi ambayo itawanya kila mmoja afurahie na kufika Kileleni bila tabu.

Asante sana.

Kumbuka, Women can fake an orgasm, Men can fake a whole relationship .