Thursday 22 January 2015

LAANA...!!! ANGALIA JINSI MWANAFUNZI WA SEKONDARI ALIVYO VAA

Maadili yanazidi kuporomoka hapa bongo mpaka kufikia hatua madenti wanavaa wanavyojisikia ikiwemo kuvaa vigauni vifupi, na kama hiyo haitoshi siku hizi
wanafunzi wa

sekondari na haswa Form 2 wanapenda kuacha sehemu kubwa ya maziwa yao wazi... Fanya survey katika shule mbalimbali za mijini utaligundua hili! Ukiwa kama dada/kaka/mzazi/mlezi wafikiri nani alaumiwe katika hili sasa? Mwalimu, mzazi au jamii kwa ujumla?! Tupe jibu lako kwa comment box hapo chini...