Thursday 22 January 2015

SHINDANO JIPYA LA KUONYESHA MAPAJA NA MIGUU KWA WADADA LAZUA GUMZO MTANDAONI KAMA UNAJIAMINI UNA MGUU NA PAJA ZURI SASA KAZI KWAKO

Hili  ni  shindano  maalumu  la  kuonyesha miguu.
Jina  la  shindano  hili  ni   "ONYESHA  MIGUU  YAKO" na  kauli  mbiu  ya  shindano  hili  ni  " JITUTUDE" yaani  " JIONYESHE  TUKUONE  TUKUPE  DEALS "

Washindi  ishirini  bora  watakao  pigiwa  kura  watapata  zawadi  mbalimbali  ikiwa  ni  pamoja  na  kupewa  deals  za  kufanya  kazi  na  kampuni na  taasisi   mbalimbali.  Utaratibu  wa  kupiga  kura  na  vigezo  vitakavyo  tumika  kuwapata washindi  pamoja  na  majina, namba  za  ushiriki  na  maelezo  binafsi  ya  washiriki  vitatolewa hapo  baadaye. Kama  wewe   ni  mdada wa  kitanzania, na  unataka  kushiriki  katika  shindano  hili, tutumie  picha  zako, maelezo binafsi, Cv yako, contacts  zako, wilaya  unayo ishi, hobbies  zako, interest zako na  ambition  zako. Tutumie  kwenda  : neemaherbalist@gmail.com.