Friday 12 September 2014

TAZAMA HAPA HUYU KAHABA ALIVYONASWA AKIFANYA NYUMBA YA KULALA WAGENI

"ILikuwa ni baada ya mteja wake wa mwisho kuondoka ,ambae inasemekana ni mume wa mtu" Alisema mhudumu wa baa hiyo. Na baada ya muhudumu wa
baa kumpeleleza kuhusu kiasi alichopata alimwambia kwa siku hiyo amepata shilingi laki mbili (Tsh.200,000) baada ya kulala na wanaume 4.