Kuwa na Mpenzi asiyemridhisha, inaweza tokea mtu ana mtu wake lakini
bado anahisi kama hayuko sehemu sahihi hivyo mara nyingi huwa hajisikii
amani katika uhusiano, Siku za mwanzo
atajitahidi kuvumilia ila baada ya muda uzalendo humshinda hivyo anaweza
jikuta anajiachia kwingine na njemba zinachojoa chupi na kumsokomeza
dude kama kawaida.
Kutoridhishwa huku inaweza kutokea katika Nyanja zifuatazo:
*Kiuchumi,yaani mwanaume amechacha hawezi kumhudumia mahitaji anayotaka.
*Kingono,yaani mwanamke
anashindwa kufikishwa kileleni na kumfanya afurahie mapenzi kama wengine.
*Kitabia,hii hutokea pale mtu unapokuwa na mpenzi mwenye tabia tofauti
ambazo hazikupi furaha hivyo anaamua kuachia ngazi na kupeleka uchi wake
kwa jamaa mwingine.
Hivyo inashauriwa kuwa makini sana na mpenzi uliyenae na kumchunguza kama ni sahihi au la, ili asije akakutenda