Thursday 25 September 2014

HII NDIO SABABU KUBWA INAYOWAFANYA WANAWAKE WACHOJOE CHUPI ZAO KWA WANAUME WENGINE. ZAMA HAPA


Kuwa na Mpenzi asiyemridhisha, inaweza tokea mtu ana mtu wake lakini bado anahisi kama hayuko sehemu sahihi hivyo mara nyingi huwa hajisikii amani katika uhusiano, Siku za mwanzo 


atajitahidi kuvumilia ila baada ya muda uzalendo humshinda hivyo anaweza jikuta anajiachia kwingine na njemba zinachojoa chupi na kumsokomeza dude kama kawaida.

Kutoridhishwa huku inaweza kutokea katika Nyanja zifuatazo:

*Kiuchumi,yaani mwanaume amechacha hawezi kumhudumia mahitaji anayotaka.

*Kingono,yaani mwanamke 

anashindwa kufikishwa kileleni na kumfanya afurahie mapenzi kama wengine.

*Kitabia,hii hutokea pale mtu unapokuwa na mpenzi mwenye tabia tofauti ambazo hazikupi furaha hivyo anaamua kuachia ngazi na kupeleka uchi wake kwa jamaa mwingine.

Hivyo inashauriwa kuwa makini sana na mpenzi uliyenae na kumchunguza kama ni sahihi au la, ili asije akakutenda