Tuesday 16 September 2014

Enyi Wanawake Mnaokuwa Kama Magogo 6 Kwa 6 Kwanini Mkiibiwa Mnalia lia..???

Mpenzi Kama Bado Hujajiunga Nasi, Unaweza Kujiunga Hapa Moja Kwa Moja .


Unakuta mwanamke yaani amekaa tu kamavile mgomba katulia tuliiii.
Hana hata hamasa kwa mwenzi wake. Akiibiwa na wajanja ana lalamika weee.
 
Watu mitaani watachonga mbona jamaa yupo na mwanamke mzuri tu mbona zipu yake anafungua fungua? kumbe bana siri ya ndani anajua yeye.
 
Na ukute huyo sasa mwanamke anajua kuchonga na ana mdomo kama kasuku. Utapakimbia home na kupanga kwenye hotel.
 
Kwanini msijifunze? Hasa hasa wale wanaotoka kwenye maajabu ya africa kwenye baridi kali yaani wanaboa kweli.
 
Vitu vidogo tu vya kujifunza unashidwa? Unamwambia fanya basi hivi mkali kweli. aaah ina kera kweli.