Sunday 14 September 2014

MAHABA YASABABISHA MWANAMME KUMFUNGIA NA KUFULI MPENZI WAKE



Mwanamme mwenye wivu amfungia na kufuli mpenzi wake ili asi cheat na kuondoka na funguo.

Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 25 aliamua kumshtaki mpenzi wake kwa polisi  baada ya kuchoka kuvumilia maumivu ya kukaa masaa bila kwenda haja na kuogopakukata Jeans kwa mkasi kwa kumuogopa mpenzi wake huyo mwenye Umri wa miaka 40.