Ratiba ya ligi kuu ya Uingereza 2017-18 imetoka rasmi huku mabingwa watetezi klabu ya Chelsea ikiikaribisha Burnley katika mchezo wa ufunguzi utakao chezwa August 12-13.
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Uingereza Chelsea
Newcastle ikiwakaribisha Tottenham, wakati Brighton ikiwa mwenyeji dhidi ya Manchester City na huku Huddersfield ikiwatembelea Crystal Palace.