Tuesday 27 June 2017

WEMA Sepetu Hataki Ujinga...Awapa Mbovu Mbovu Wanaosema Ana Shape Mbaya

By @wemasepetu - Sheep ya mwendokasi... Ndo niliojaliwa nayo... Kama imeanzia kiunoni kwenda magotini ndo niliojaliwa nayo... Kama wewe hauna basi mshukuru Allah... Ndo nilivyoumbwa jamani... Sio mimi bali ni Maulana ndo alionibariki nayo... Hata ingekuwa kwanzia kichwa hadi Vidole vya miguuni ni sawa pia... Ndo niliojaliwa nayo.... Sometimes najiangalia kwenye kioo sijimalizi... Ndo majaliwa yangu... Ndo yangu basi... Imenizidia... Allah Subhanah wataallah ndo amenipa... Aaaah....!? Sio shepu ya kawaida... Niacheni na Shepu yangu jamani... Ndo nishaimiliki mie... Siwezi kuitoa....