Halafu Kila Akitembea Anskuwa anaifungua fungua Khanga Kama Anajifunga vile, Maksudi Tu..... na Upande Mmoja wa
Mda Mwingine Ki-Khanga hupandishwa juu na Mipaja kuwa Wazi, Mbaya zaidi wanaofanya hivi ni Wale wenye Makalio Manene,,, Kwanin?
Jamani Mbona Hivi Kutesana? Si Mvae Nguo HukoNdani? au Joto La Dar?????