Uvaaji wa namna hii ndio umekuwa fashion
siku za hivi karibuni kwa dada zetu hasa nyakati za usiku katika kumbi mbali mbali za starehe na hizi ni baadhi ya picha nilizo bahatika kuzipata katika baadhi ya kumbi za starehe je kwa uvaaji huu maambukizi ya ukimwi
yatapungua kweli au ndio biashara matangazo