Maproffesa wanaweza kufundisha mpaka kufikia hatua hii..Mtandao wetu imenasa Picha maeneo nyeti sana, hatutapenda kuyataja. inasemekana kuwa proffessa huyu alilazimisha
kuhongwa Penzi na mwanafunzi huyo kisa tu kumsaidia katika Maswala mbalimbali ya chuo Kubwa likiwa ni Mkopo
kuhongwa Penzi na mwanafunzi huyo kisa tu kumsaidia katika Maswala mbalimbali ya chuo Kubwa likiwa ni Mkopo
Kwa jina tunaliifadhi. nia yetu tu ni kuanika na kufichua maovu katika
jamii. tena mabinti tunazidi kuwapa Onyo nyie mnaopiga Picha za utupu, tunawahakikishia sisi tukizinyaka tu tunazituppia kwa mtandao ili jamii iwajue kwa maovu mnayoyafanya