Tuesday 27 May 2014

LAANA MKE WA MTU ANASWA AKILIWA URODA NA HOUSE BOY WAKE

 

Zamani tulikuwa na hofu na mahouse girl kuvunja ndoa za watu lakini kwa sasa mabo yamebadilika.Kiongozi mkubwa mstaafu serikalini (Mr Kelechi) ameshangazwa na
kile kinachoitwa sintofahamu baada ya kuona maajabu kwenye simu ya mfanyakazi wake wa kiume 

wa nyumbani kwake(house boy).
Taarifa zinasema kiongozi huyo alichukua simu ya mfanyakazi wake iliafanye mawasiliano lakini katika kuichezea alizikuta picha za uchi za mke wake.Mapigo ya moyo yalibadilika, ndugu msomaji usiombe uibiwe mke ni bora ukaibiwa hata pesa.