Tuesday 26 August 2014

TAZAMA PICHA ZA KILICHOJIRI KATIKA PARTY ILIYOANDALIWA NA DIVA WA CLOUDS FM PALE MAISHA CLUB

Juzi ndani ya Club Maisha dar es salaam,kulikua na Party kubwa iliyoandaliwa na Mtangazaji wa Kituo cha Clouds Fm Ala za

Roho, Party hii ilihudhuriwa na wajanja wengi wa Town na burudani ilitolewa na Rapper Chidi Benz ambaye kwa muda
mrefu hajaonekana kwenye Majukwaa na sasa hivi anai promote Ngoma yake mpya
Mpaka Kuchwee aliyo washirikisha
Diamond na Ambwene Yesaya (A.Y) Chidi alipokelewa na vizuri na mashabiki waliohudhuria usiku huo, wengine walioperform ni Bob Junior Sharobaro mwenye nyota ya chips Mayai, Kassim Mganga kutoka Manza Bay Tanga, Shilolole
Kiuno pamoja na Mpenzi wake Nuh
Mziwanda wao ndio walifunga kazi kabisa kwa kula denda on stage, Godzilla pia aliperform pamoja na Wadananda, Party hii
iliisha mida ya saa kumi na moja alfajiri.