Friday 22 August 2014

NOMA SANA TAZAMA HAPA BALAA LA SKYLIGHT BAND JIJINI DAR MMH BALAA

DSC_0478
Mashabiki wakijiachia wakati Skylight Band ilipokuwa ikitumbuiza kwenye Tamasha la Nyama Choma lilofanyika Jumamosi hii ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.
DSC_0413
Winfrida Richard (katikati), Hashim Donode pamoja na Digna Mbepera wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye tamasha la Nyama Choma ndani ya viwanja vya Posta Kijitonyama jijini Dar.
DSC_0415
DSC_0499
Burudani zilikuwa nyingi kwenye tamasha la Nyama Choma lakini Skylight Band ilifunika kwenye kuteka mamia ya mashabiki.
DSC_0462
Umati wa wakazi wa jijini Dar wakipata burudani ya aina yake kwenye tamasha la Nyama Choma wakati Skylight Band ikitumbuiza.
DSC_0473


DSC_0460
Mashabiki wa Skylight Band waliamua kupanda jukwaani na kuonyeshana ufundi.
DSC_0453
Dar es Salaam are you feeling the music..........yeah......!!!