Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha
haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku wakiwalaghai wame
eti maziwa hayatoki.Tabia hii imeshika kasi mpaka wanawapa tabu
mafundi nguo , wakishona bila kuweka mbeleko ya kuyabeba.Wasichana
wamefikia.hatua ya kujikaba kifua huku wakieemea juu juu kisa yatune.
wenginemasikini yashakuwa sokis lakini ngozi hiyo itakabwa wee mpaka
itune.Je kuyakaba na kuyatunisha ni ulembo au mitego