Friday 13 February 2015

HUYU NDIE MWANAMKE MWENYE UMBO MZURI ZAIDI….. ANAETUMIA MTANDAO WA INSTAGRAM NA TWITTER KUENDESHA MAISHA YAKE







Anaitwa Ariana Angel, SOCIALITE kutokea Ulaya, anatumia mitando ya kijamii kama INSTAGRAM na TWITTER kuweka picha zake na kwenye profile yake ameweka email yake..kwaajili ya booking….HATARI SANA…Hivi karibuni alitamka wazi kuwa hawezi kugawa mautamu kwa MTU MWEUSI…..hii ni baada ya watu hasa kutokea Afrika walipoanza kumdis...Moja kati ya comment yake ilikuwa hii kutoka twitter;




Cheki picha zake hapa....Zaidi ya 25...the uniambie unamuonaje..hehehe