Thursday 12 February 2015

DUNIA INAKWENDA WAP?!!TAZAMA DOCUMENTARY YA MASHOGA WANAOJIITA GULLY QUEENS [PHOTOS]

Siku tatu zilizo pita kituo cha Television cha VICE News documentary wamerusha documnaty ya kikundi cha vijana waishio mji wa Kingston .Jamaica.

Nnchini Jamaica, kuvamiwa, kubabwa,kuuwawa ni vitu vya kawaida kwa MASHOGA...Kutokana na hali hiyo wanaisha mashashaka na wapo chimbo wamejificha ....hebu cheki baadhi ya picha za LAIFU STAILI yao...















Mungu atusamehe....asituangamize kwa maji au moto!!!