Wednesday 15 October 2014

LAANA ZA NGOMA ZA VIGODORO BADO NI GUMZO, MAJIMAMA TENA WAKE ZA WATU WASHINDANA KUMWAGA RADHI

MAADILI YA MTANZANIA YANAPOROMOKO.
WANAWAKE watu wazima'Miji Mama' mwishoni mwa wiki iliyopita ilimwaga radhi hadharani eneo la Msamvu Magodolo jirani na kiwanda cha Komoa.

Miji Mama hiyo ambayo baadhi ya wake za watu walifanya uchafu huo kwenye sherehe ya kumtoa mtoto wa rafiki yao'Arobaini'.
Wanawake hao wambao wana kikundi cha kusaidia kwenye shida na raha walifanya sindano hilo la kuvua nguo