Tuesday 31 March 2015

Tambua Aina ya Wanaume wenye Mvuto zaidi kwa Wanawake

Kuna aina kuu mbili zinazo wafanya wanaume wawe na mvuto mkubwa kwa wanawake, ambazo ni:-


RICH AND SUCCESSFULL MAN:- hawa kwa sasa ndiyo habari ya mujini......... ukijijua wewe mambo yako swaaafi, kuanzia kwenye pochi,,,,, nice house,,,,,,,, expensive cars....... Jua
kwamba unatamaniwa mbayaaaaa, yaani hapo ukimbeep tu tayari unae!!!!!
(ila kuweni makini hapa wenye mapenzi ya dhati ni robo/kilo wengine wanatafuta watu wakuwang'arisha kimaisha tu)

GOOD SEX:- Hapa kama kitandani hujiwezi jua tayari umeshapoteza mvuto kwa mwanamke, hata kama una large penis halafu ubanjukaji ni ziro jua itabaki kuwa urembo tu hapo kati!!!!!!! You must have a right way to turn your woman on, discover her 'hot spots'
and make sure she finishes first............ Atakupendajeeeeee!!!!!!!!!!!!!

SIFA NYINGINE ZA ZIADA ZINAZO MVUTIA MWANAMKE

=>mwanamme ambaye yuko strong and healthy body 

=>good haircut (sio wale wahuni waviduku,,,,, kwangu naona kama uchafu)

=>wanaume warefu nao wanamvuto wake jamani, hasa pale unapoongozana nae au pale anapokukiss.....daaaaaaaah!!!! !!!!

=>A man's cloth; mwanaume anaweza akawa anamvuto zaidi machoni pa mwanamke endapo atatupia vyema kabisa zile 'bring bring' sio mguuni una kiatu cha pink, trouser ya njano na shati lako jekundu mweeeeeee....... Hata salamu yako haita itikiwa!!!!!!!!

=>sensitive lips and kind eyes (hasa wale wenye dark eyes hao wanamvuto sana)

muscular, a six pack men, mwenye sauti nzito kiasi yakubembeleza, mwenye pua nyembamba kiasi (sio pua imezagaaa mpaka karibia na mashavu).