Jionee huyu dada aliye piga tungi kiasi ambacho kupelekea kumwaga radhi na kuwa kero mbele ya watu wengine walioenda kupata starehe zao huko
coco beach.
Kikubwa zaidi ni ile hali ya kuto kuthamini utu na uhai wake ndicho kilicho wajaza jazba watu kiasi cha kutaka kumpa kichapo.
"Hivi huyu ni mwenda wazimu au anaakili timamu sasa ndo anataka kuogelea baharini ilihali kaletwa nzwiiiiii!!! asije akatufia hapa tukaitwa ushahidi bure" alilalama mtu mmoja
alieshudia tukio hilo.
TAZAMA VIDEO MWENYEWE: