Ndugu zangu kila ninapotongoza wasichana wananikataa.
Nisaidien ndugu nipate technic nataka niwe na msichana wangu Peke yangu.
JIBU KUTOKA KWA AUNTY MAPENZI RAHA:
Hebu chunguza yafuatayo.
Unapiga mswaki?
Unanuka kikwapa?
Au unafuaga nguo vizuri?
Unapiga pasi?
Miguu yako inatoa harufu ukivaa viatu?
Unanyoaga nywele za kichwani na kidevuni na mashavuni?
Una mkwanja?
Kama majibu ya maswali yote haya ni NDIO basi nadhani inabidi ukasafishiwe Nyota yako kanisani.
Sio Bagamoyo.
Tuanzie hapo kwanza
Halafu kumbuka kuweka umri wako hapa wakati unajibu maswali haya.
Vigezo na masharti kuzingatiwa
Je wewe una mshauri nini Huyu Jamaaa?