Zamani tulikuwa na hofu na mahouse girl kuvunja
ndoa za watu lakini kwa sasa mabo
yamebadilika.Kiongozi mkubwa mstaafu serikalini
(Mr Kelechi) ameshangazwa na kile kinachoitwa
simu ya mfanyakazi wake wakiume wa nyumbani
kwake(house boy).
Taarifa zinasema kiongozi huyo alichukua simu ya
mfanyakazi wake iliafanye mawasiliano
lakini katika kuichezea alizikuta picha za uch za
mke wake.Mapigo ya moyo yalibadilika, ndugu
msomaji usiombe uibiwe mke ni bora ukaibiwa
hata pesa.