Gigi! Kuna mtu kakwambia ukipiga picha hizo unapendeza? Kakudanganya! Una umbo zuri ukivaa mavazi flani ya kujisitiri unapendeza zaidi na bado umbo litaonekana!
Labda kama Una mpango wa kufanya sex tape!!
.
Ni maisha yako binafsi hayatuhusu? Well! Usiyaweke mtandaoni ulimaanisha tukuone na tukujadili! Watu wanajiachia ila wewe ni too much!!
Soma Baadhi ya Comments za Wadau Walivyokasirika;
vinny_cruzz; Naomba kujua kabila la huyu dada.....alaf ni mtanzania??maana wazaz au ndugu wa karb wangeshakuja juu kama ni wakibongo...hawa ndo wanafanya jua liwe kali na nuksi ziongezekege
kitoberoo; Hayo mambo amuachie tunda..!!hata kama anatufuta madanga bac atapata majanga loh Sio kwa michup hyo kama fuko la mashine
luidjacqueline; Yaani huyu mtu ni chefuchefu moja chaaafu hadi kinyaa! Ptuuu
Mdau na wewe una ushauri Gani Kwa Gigy Money?
ANDIKA MAONI YAKO HAPA CHINI