Rais Recep Tayyip Erdogan ameapa kutotii vitisho vya Marekani kuhusiana na mchungaji anaezuwiliwa nchini Uturuki, huku mzozo baina ya washirika hao wa NATO ukizidi, na kusababisha kuporomoka sarafu ya Uturuki la Lira.
Sunday 12 August 2018
Saturday 21 July 2018
Maradona aanza kibarua kipya kwa mbwembwe
Gwiji la soka nchini Argentina, Diego Maradona ametua kwa mbwembwe nchini Belarus kuanza kazi yake mpya kama Mwenyekiti wa klabu ya Dinamo Brest FC.
Sadio Mane akabidhiwa namba ya Coutinho, Salah aonyesha uwezo kwenye kikapu
Nyota wa klabu ya Liverpool, Mohamed Salah na Sadio Mane wamerejea hii leo siku ya Ijumaa huko Melwood tayari kwaajili ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu nchini Uingereza.
Wednesday 25 October 2017
Kifafa cha Mimba (Preeclampsia, eclampsia)
Kifafa cha mimba ni ugonjwa unaohusiana na msukumo mkubwa wa damu (high blood pressure) wakati wa ujauzito pamoja na kuharibika kwa viungo muhimu mwilini kama vile figo na ini. Kwa kawaida ugonjwa huu hutokea baada ya nusu ya kwanza ya ujauzito kuisha (kuanzia wiki ya 20 au miezi mitano ya ujauzito).
Maradhi Yanayotibiwa na Habbat Soda (BLACK SEEDS)
Bila Uvumilivu utaacha kila siku, kuwa makini katika hili
Tabia Hii Moja Itakufanya Uendelee Kuwa Masikini Maisha Yako Yote
Kila siku huwa najifunza sana kuhusu fedha na kuhusu tabia za watu kuhusu fedha. Pia nimekuwa nakazana sana kujifunza kuhusu fedha katika miaka mingi iliyopita. Nimekuwa najifunza kuhusu historia ya fedha, historia ya matajiri mbalimbali waliopata kuwepo kwenye uso huu wa dunia. Na muhimu zaidi nimekuwa najifunza kupitia tabia za wengine
Zijue sababu zinazopelekea wapenzi wengi kuchokana mapema
Hivi uliwahi kujiuliza hivi ni kwanini baadhi ya mahusiano ya kimapenzi hufa mapema, kama si kufa basi kushuka kwa mahusiano hayo? Moja kati ya sababu ambayo husababaisha kufa kwa mahusiano ni ile tabia ya kuchokana mapema katika mahusiano na moja kati ya sababu kubwa ambayo hupelekea kuchokana mapema ni:
Jinsi Ya Kufanya Mambo Magumu Kuwa Rahisi
Ni rahisi kufanikisha jambo lolote, ikiwa jambo hilo utataanza kulifanya mara moja na kuacha kusubiri.
Harmorapa afunguka kuhusu kupotea kwake
Msanii ambaye hakauki vituko mitandaoni Harmorapa, amewajibu watu wanaomsema kuwa amepotea pamoja na kiki zake zote, na kusema kwamba hajapotea isipokuwa yuko busy na biashara.
Subscribe to:
Posts (Atom)