Sunday 12 August 2018

Saturday 21 July 2018

Wednesday 25 October 2017

Kifafa cha Mimba (Preeclampsia, eclampsia)

Kifafa cha mimba ni ugonjwa unaohusiana na msukumo mkubwa wa damu (high blood pressure) wakati wa ujauzito pamoja na kuharibika kwa viungo muhimu mwilini kama vile figo na ini. Kwa kawaida ugonjwa huu hutokea baada ya nusu ya kwanza ya ujauzito kuisha (kuanzia wiki ya 20 au miezi mitano ya ujauzito).

Tabia Hii Moja Itakufanya Uendelee Kuwa Masikini Maisha Yako Yote

Kila siku huwa najifunza sana kuhusu fedha na kuhusu tabia za watu kuhusu fedha. Pia nimekuwa nakazana sana kujifunza kuhusu fedha katika miaka mingi iliyopita. Nimekuwa najifunza kuhusu historia ya fedha, historia ya matajiri mbalimbali waliopata kuwepo kwenye uso huu wa dunia. Na muhimu zaidi nimekuwa najifunza kupitia tabia za wengine

Zijue sababu zinazopelekea wapenzi wengi kuchokana mapema

Hivi uliwahi kujiuliza hivi ni kwanini baadhi ya mahusiano ya kimapenzi hufa mapema, kama si kufa basi kushuka kwa mahusiano hayo? Moja kati ya sababu ambayo husababaisha kufa kwa mahusiano ni ile tabia ya kuchokana mapema katika mahusiano na moja kati ya sababu kubwa ambayo hupelekea kuchokana mapema ni:

Harmorapa afunguka kuhusu kupotea kwake

Msanii ambaye hakauki vituko mitandaoni Harmorapa, amewajibu watu wanaomsema kuwa amepotea pamoja na kiki zake zote, na kusema kwamba hajapotea isipokuwa yuko busy na biashara.